Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Hii ni fitna na I know how it feels bro Pascal kwani mimi binafsi nishafanyiwa fitna na watu humu na to be honest nilimwaumu sana Invisible kwani kuna members nilipishana nao kimawazo na mwishowe issue ikaja kuwa out of control. Tumepishana na jamaa kimawazo lakini it got too personal na to be honest sikushindwa ku retaliate kwa namna nionavyo sawa kwani nilipakaziwa sana na infact nilishamake up my mind lakini ilitokea intervention ya watu ambao kwa ukimwa wangu walihisi I was up to something ambayo ingepelekea mambo mazito sana na najua couple of yrs down the line wakati JF hai exist anymore sijui mbele ya Mungu ningemjibu nini. So I had to let it go na jamaa mpaka leo yupo humu anaendelea kukamua.
Kaka Pasco mimi unaweza usinifaham lakini mimi napinga kwa nguvu zote kwani nimekufaham enzi zileee pale kwnye ofisi ya JOV na akina ALI OKI na AHMAD NZOWA na MSELEM....hata kabla MASAI STUDIOS haijaanza kupiga vipindi vyake na ofisi ilikuwa pale juu nyuma ya msikiti wa ngazija just opposite ile library ya wahindi. Kaka mara ya mwisho tumekutana kwenye corridor mlikuwa unatoka na Savanna lounge lakini hatukuchat sana. Leo hii nimeingia na kukuta upuuzi huu umenisikitisha sana lakini thats what you get na JF. Hapa kulikuwa na bifu kati ya Invisible na Mange Kimambi, je ushaona Mange anabandikwa humu tangu atoe warning ? lakini wewe utatukanwa, mimi nitatukanwa na of course wengine watatukanwa na you know what I wont blame you kwa hatua yoyote utakayoichukua. This is so wrong at all levels lakini pia since you;ve stated your point I will also support you if you decide to walk away. its not worth it.
Pole sana and I care less about your private life lakini when wronged I will always support you hata kama tutakuwa na difference of opinions and you didnt deserve this.
Plse try to address the issue with Max in private.