Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Bandiko la mkubwa Pascal haliwezi kujustify kuwa yeye sio Shoga! na siwezi kusema pascla ni shoga,sijawahi kumuona akifanyiwa mchezo mbaya.Kusema yeye ni kidume ana watoto 6 haimaanishi mtu asiwe shoga,tumeshuhudia mashoga lukuki wakiwa na watoto wao na hata wake zao inakuwa ngumu kuwagundua.Pole sana bwana Pasco. Kwa kweli inatiaga hasira sana pale watu ambao hawakujui kujifanya wanakujua na kuanza kueneza mambo ambayo hawawezi hata kuthubutu kuyathibitisha.
Kama ndugu yangu pascal kakanusha madai haya,simlazimishi akubali ili basi tuamini maana hizi tuhuma ni za siku nyingi watu hawawezi kukurupuka na kusema fulani ni shoga.
Hivyo basi atuwekea matokeo ya kitabibu ya kuwa si shoga.
*****