Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,675
- 5,022
mkuu watu wasingetajwa.... bwana pasco asingekuja kujisafisha.. watu wangeishia na coclusion vichwani mwao.. matangaji.. katikati ya mwaka etc... kutajwa majina imesaidia walengwa kuja kumaliza uvumi unaoendelea mtaani
Hiyo siyo excuse. Wanasema "Its easy to be wise after the event." Kwa hiyo hapa inabidi utilie maanani motivations alizokuwa nazo wakati ule, siyo "after the fact". Sikuona mahali ambapo alidai ushahidi kutoka wale watembeza umbeya wenzake. Alikuwa aking'ng'ania tu yatajwe majina.