mmmmmmmh!!mi ndo naiona leo..ivi uyo mataka ndo nani... ila pia bro hakua na haja ya kujielezea that much..mimi nina mifano ya clozed mens walio na marafiki wakutosha na they know very much how to play with their feelings plus matendo yao!!anyway ukweli unao mwenyewe kwenye nafsi yako..pole sana.