sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Huu ushauri unautoa kwa Bishanga?..Mjue Mungu ili uwe na amani na hayo yote hayatakupata Bishanga!
Huu ushauri unautoa kwa Bishanga?..Mjue Mungu ili uwe na amani na hayo yote hayatakupata Bishanga!
halafu usiombe hasa hizi pakiti za rough rider,zina kagundi flan kwa ndani,vipande vyake havikawii kuganda kwenye nguo au mwilini,thats what happened to her.
sasa nifanyeje Mkuu wakati najua la kuoana haliwezekani na mzee keshamwaga,nitakachofanya nitamfungulia biashara.Yaani mwenzio hajapona wewe unaanza kumtangazia kuwa kapoteza kote kote? Halafu unajidai eti bado unampenda??
Au ni maandalizi ya kumtayarisha mwenzio awe pozeo la kudumu?
Babu DC!!
Usijali.... Nimekusamehe B'. Ningeandika mengi ila kipigo kilifanya kidole changu cha kati kuvunjika hivo naandika kwa maumivu makaliiii.... I am Sorry mie it was for fun and I still Love "HIM" Bado nipo kumbembeleza... nilikua sijitambui wakati nipo na wewe naona tu mapepo yaliniingia.
:mad2::mad2::mad2:......Naenda kukusemea kwa brazaUsijali.... Nimekusamehe B'. Ningeandika mengi ila kipigo kilifanya kidole changu cha kati kuvunjika hivo naandika kwa maumivu makaliiii.... I am Sorry mie it was for fun and I still Love "HIM" Bado nipo kumbembeleza... nilikua sijitambui wakati nipo na wewe naona tu mapepo yaliniingia.
Mapepo mbona yanakoma...tunayasingizia hata mambo yasiyowahusu.
Pole kwa maswahiba, afu mie wala siendi kushangaa feri...nakushangaa wewe na huyo mke wa mtu tu!kashangae feri shilingi inakozama na meli inaelea!
AshaDii mapepo gani hayo yaloingia?
:mad2::mad2::mad2:......Naenda kukusemea kwa braza
Kwanini hairuhusu?hali hairuhusu bana,nitamtunza lakini na nitamwendeleza kimaisha kwa kumfungulia biashara.
Ndahani nilitereza... What do I tell my man? Kua I was curious and wanted to have a taste of B'? I don't think so... Mapepo in this matter ni best option.... lol