kandidus
Member
- Feb 6, 2012
- 70
- 17
Walau mnawataarifu wana JF kuwa ninyi ni mashuhuri na mnazingatia matumizi ya kondomu. Lakini pia huo ni uzembe. Ina maana hukumkagua? Lakini naye mwanamke hatosheki na mmewe. Kazi kwake! Hata ukimchukua, atagawa tu kwa wengine. Hiyo ndo tabia yake. hawezi kuiacha. Nawe kidume kumbuka mke wa mtu ni sumu!