Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
- Thread starter
- #41
Guys..kiukweli rock music ni noma...yaaani unaweza ukawa chizi ukipandwa na mzuka.. Napenda sana rock..coz ni mziki ambao hauna instrumental..yaani unapigwa live..wa guitar unamwona, wa drumkit unamwona, wa keybrd unamuona.... Pia, i like the way watu wanavyovaaa! Kinda awesome!