Wapenzi wa Rock music!

Apollo

JF-Expert Member
May 26, 2011
4,920
3,221
Hi Tanzanians, i think hapa kwetu nchini kuna wapenzi wachache sana wa Rock, Punk, Electro and Gothic.. I think its time for us to support it. Kuna bends nzuri kama vile Linkin Park, 30 seconds to mars, One Republic na nyinginezo hazipewi kipaumbele katika radio chats, awards na tv chats zetu.. Only TBC International radio j3 mpaka jmosi saa 3 till saa 6 asubuhi and Chanel 5 (EAST AFRICA TV) jmosi saa 3 asubuhi mpaka saa 4. Mimi ni mpenzi sana wa Rock.. But nimekutana na watu wachache wanaoipendi hii miziki, i dont know why inakuwa hivyi! Lets support Rock Music. Nimegundua Kenya wanapenda Rock and inalipa kule. Hakuna muziki wa race, kila aina ya mziki ni ya wote. Nawatakia siku njema! Ya boy RoCKstaR!
 
Bana bana.... napenda that kind of music.... infact nipo kumsikiliza Alicia na her new Rock Music... BUT si support kua tu promote... tunazipenda accidentally inatosha, naona sasa tu base na za nyumbani kwanza maana tuko nyuma mno katika hio sector, na bahati mbaya ni nyimbo chache saana napenda za hapa home.... IMO bora kwa tu promote za hapa...
 
Bana bana.... napenda that kind of music.... infact nipo kumsikiliza Alicia na her new Rock Music... BUT si support kua tu promote... tunazipenda accidentally inatosha, naona sasa tu base na za nyumbani kwanza maana tuko nyuma mno katika hio sector, na bahati mbaya ni nyimbo chache saana napenda za hapa home.... IMO bora kwa tu promote za hapa...
wow! its not bad..just follow ur interest.
 
its ok! But i dnt think kuwa Alicia anaimba rock! Or may be ni Alicia mwingine and not ninayemjua mimi!


What i say about Music.... I say with heart... oh! I LOVE MUSIC... Vibaya mno!

mpaka i believe sometimes it is bad for my health... na hivo nikisema kitu kuhusu

Music... I KNOW... sio kwamba nakurupuka... ungekua ni mfuatiliaji mzuri saana wa hizo

Foreighn music, utagundua kua Alicia katoa wimbo recently unaitwa "Rock Wit U"

Upo in a Pop Rock style... (naona alilenga a new look na ku revitalize her music style)

Bahati mbaya siwezi Upload ningekuwekea... thou napenda saana the video kuliko hata the music itself!
 
What i say about Music.... I say with heart... oh! I LOVE MUSIC... Vibaya mno!mpaka i believe sometimes it is bad for my health... na hivo nikisema kitu kuhusuMusic... I KNOW... sio kwamba nakurupuka... ungekua ni mfuatiliaji mzuri saana wa hizoForeighn music, utagundua kua Alicia katoa wimbo recently unaitwa "Rock Wit U" Upo in a Pop Rock style... (naona alilenga a new look na ku revitalize her music style)Bahati mbaya siwezi Upload ningekuwekea... thou napenda saana the video kuliko hata the music itself!
wow! Hata mimi napenda music, but im addicted with Rock, Punk, Emo, Electrica and Metal...Na ninafurahi kufahamu kuwa nawe unapenda music! Music ni music haijalishi ni wa namna gani, ni bora kuwa na interest na kuipa kipaumbele! Thats good!yeah, i know that song but sio kivile. Haupo katika format ya real rock yenyewe kama other rock musics. Now dayz rock ipo juu, wasanii wengi wa hiphop na rnb wanapenda kutumia vionjo vyake, mfano B.O.B, Bruno mars, chris brown na t-pain ktk new track yao, pia wengine wanaoipenda kuituima kuna Lupe Fiasco, Birdman na the best known artist like Lil Wayne, wanaipenda kuweka vionjo vyake.. I like that!
 
Duh metal...? Nikienda sehemu wanapiga metal I walk out....
Anyhow I like rock too but very particular na groups/bands etc etc...
 
Duh metal...? Nikienda sehemu wanapiga metal I walk out....Anyhow I like rock too but very particular na groups/bands etc etc...
mhh! Kuna metals nyingine nzuri. Me too, kinachonifanya nipende rock ni kuwa, napenda kuona live shows..pia i like guitarz and drum kitz.
 
I have been to very few rock concerts Linkin Park, U2 na Lenny Kravitz hawa wengine nawasikiliza tu not interested in seeing them perform.
 
wow! Hata mimi napenda music, but im addicted with Rock, Punk, Emo, Electrica and Metal...Na ninafurahi kufahamu kuwa nawe unapenda music! Music ni music haijalishi ni wa namna gani, ni bora kuwa na interest na kuipa kipaumbele! Thats good!yeah, i know that song but sio kivile. Haupo katika format ya real rock yenyewe kama other rock musics. Now dayz rock ipo juu, wasanii wengi wa hiphop na rnb wanapenda kutumia vionjo vyake, mfano B.O.B, Bruno mars, chris brown na t-pain ktk new track yao, pia wengine wanaoipenda kuituima kuna Lupe Fiasco, Birdman na the best known artist like Lil Wayne, wanaipenda kuweka vionjo vyake.. I like that!

Ni kweli unalosema... ila B.O.B sio saana, Bruno Mars kabisaaa....
na Ule wimbo mpya wa CB na TP... does it qualify kua Rock?? really....

And i do agree kuhusu vionjo vyake.... (musicians) naona music saizi ina evolve
Ila i second Eqlypz kwenye hio Metal Music.... i can not stand it.
 
I have been to very few rock concerts Linkin Park, U2 na Lenny Kravitz hawa wengine nawasikiliza tu not interested in seeing them perform.


I have never been on a rock band live (apart from school of coz...lol...) I envy walowahi ona.
 
Rock music is da best,hata hapa bongo suma lee alishafanya track1,wa nje kuna wakali kama Bon jovi,the script,one republic nk
 
Coldplay,metallica,3doors down,U2 yaani ni mzuka sana!huku A-town kuna sehemu kama empaya,vuavua na colobus unaweza pata vionjo vya hii miziki.
 
Kuna Rock music za aina nyingi. Inaidi uwe specific.

Kuna nyingine zinapishana sana sana.

Mie mpenzi wa Soft Rock na siyo hai akina Mettalica.

Joe Cooker, Phil Collins, Bruce Springsteen, Aerosmith, (The rolling stones na U2 design ni nyimbo chache tu napenda).............

 
Last edited by a moderator:
Kuna Rock music za aina nyingi. Inaidi uwe specific.Mie mpenzi wa Soft Rock na siyo hai akina Mettalica.
mkuu kuna wakati metallica"metal militia" huwa wanatulia sana mfano kuna pin linaitwa Nothing else matters limetulia ile mbaya lakini nyimbo zao nyingi ni heavy metal kama unasikilizia nyumbani lazima majirani wakushtaki kwa balozi.Kama unapenda soft rock jaribu kuwasikiliza coldplay hawa jamaa walikuwa inspired na U2 nina uhakika hata HE Ben Mkapa amewahi kuwaona wakipaform kwenye tamasha liliondaliwa na Amnesty intl.
 
Naufahamu sana huo maana ni kama wimbo wao maarufu ukiongeza na Whiskey in the Jar.
mkuu kuna wakati metallica"metal militia" huwa wanatulia sana mfano kuna pin linaitwa Nothing else matters limetulia ile mbaya lakini nyimbo zao nyingi ni heavy metal kama unasikilizia nyumbani lazima majirani wakushtaki kwa balozi.Kama unapenda soft rock jaribu kuwasikiliza coldplay hawa jamaa walikuwa inspired na U2 nina uhakika hata HE Ben Mkapa amewahi kuwaona wakipaform kwenye tamasha liliondaliwa na Amnesty intl.
 
Back
Top Bottom