The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Also always tune to East Africa Radio on Sundays from 2pm to 4pm they usually play good Rock music kipindi chao kinaitwa LIVE WIRE
nimefurahi kusikia kuwa nawe ni mwanachama.. Thats good. Yaani hata mimi hicho kipindi cha rock sikikosi, ninakipenda. Na kile cha ''rock and pop steve on the daily edition''-TBC international.. Duh, sikuwepo hapo kwenye Sweet Eazy Idd.. Vipi palikuwa pa ukweli ehh?
Also always tune to East Africa Radio on Sundays from 2pm to 4pm they usually play good Rock music kipindi chao kinaitwa LIVE WIRE
Kwa gitarz nyuzi bin nyuzi kaka mimi nawavulia kofia wahuni wa uingereza wale jamaa wanne wa Iron Maiden chini ya David Harris ,kuna wimbo unaitwa Brave new world hizo nyuzi ni balaa na hizo drums sijui ziko mia moja ni hatarimhh! Kuna metals nyingine nzuri. Me too, kinachonifanya nipende rock ni kuwa, napenda kuona live shows..pia i like guitarz and drum kitz.
hiyo band ni nzuri sana ndugu.. Aisee huo wimbo c'na. Itanibidi leo night niu-download.. Guitar lina raha yake mkuu.Kwa gitarz nyuzi bin nyuzi kaka mimi nawavulia kofia wahuni wa uingereza wale jamaa wanne wa Iron Maiden chini ya David Harris ,kuna wimbo unaitwa Brave new world hizo nyuzi ni balaa na hizo drums sijui ziko mia moja ni hatari
yeah, Nairobi nawapa big up sana kwa hilo. Hata south na Namibia wanapenda rock.. Hapa bongo tupo wachache.Scorpion kaka kutoka Ujerumani ni noma 'napenda wind of change',zoo,Train,rock you like a hurricane,still loving you,pia wale wahuni wa uingereza Iron Maiden na Brave new world,wild wind blows,coming home,pia bibi TT ni moto<br />
Hapa bongo wapenzi wa rock unawahesabu,tofauti na Nairobi kuna kumbi special za muziki wa rock
Apollo umepotea sana siku hizi. siku hizi nasikiliza sana power na folk metal. blind guardian, children of bodom, alestorm, amaranthe, theocracy, sinbreeds, sonata artica, sabaton na freedom call ndiyo band zangu sikuhizi. ila mumfords and sons huwasikiliza pia.
pole na majukumu na karibu sana mkuu. rock fans wote inabidi tusikilize track ya AC/DC for those about to rock, kufurahia come back ya Apollo.Habari kaka Red Giant. Samahani sana kwa kupotea kwangu. Ni kwa majukumu tu ndio yalinibana. Napenda kushukuru kwa kuendelea kuwa pamoja na mimi katika mada mbalimbali hasa za rock na Intelijinsia. Nimerudi kaka, naamini tutakuwa tunaleta mada mpya na kupromote mziki huu tena. Bless.
Hahaha, Asante sana kaka. Nami nitasikiliza rocks kama kawaida kufurahia ushabiki wa Rock.pole na majukumu na karibu sana mkuu. rock fans wote inabidi tusikilize track ya AC/DC for those about to rock, kufurahia come back ya Apollo.
lavigne anapiga rock japo mwwanzoni alianza na pop. hao wengine wanachanganya country ,pop na rock. umewahi msikiliza kelly clarkson?Nawapenda akina Demi Lovato, Miley cyrus, Alvir Lavigne, Taylor Swift, Katty Peri and the like, sijui nayo ni Rock?
lavigne anapiga rock japo mwwanzoni alianza na pop. hao wengine wanachanganya country ,pop na rock. umewahi msikiliza kelly clarkson?