EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
je ulimshirikisha toka mwanza kuhusu kutafuta shule na kwamba mwanao akipata nafasi wanaweza kuwasiliana nae??? je huwa mnakutana au kuwasiliana kuhusu maendeleo ya mtoto???
Thanks umemuuliza. Nilitaka kuuliza hilo pia. Kama waliachana miaka sita iliyopita ina maana mtoto atakuwa alikuwa darasa la pili or so. Je wakati mtoto akiwa shule ya msingi mama alikuwa anamshirikisha baba katika maendeleo ya mtoto kielimu? Au amesubiri mpaka mtoto anaenda sekondari ndio anataka sasa kumshirikisha baba mzazi?
Uhusiano wa mtoto na baba ukoje? Mtoto ana fikra kama za mama yake kuwa mawasiliano na baba sio mazuri, ni mtu wa shari huwezi kujadiliana na mtoto jambo lolote, ni baba msumbufu, mtesaji mnyanyasaji hajawi kuona?