Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
kajipange,inamaana 33,050 wote ni wa priority courzs au?
Inamaana wasiosoma sayansi na ualimu hawajapewa mikopo?
Let us Join M4C! Tuwahamasishe watu, ingawa mimi sio mwanachama wa CDM lakini naona they may be the root of change!
kajipange,inamaana 33,050 wote ni wa priority courzs au?
Tatizo tunachanganya elimu na siasa mchwara.we acha tu 2015 kitachimbika , kitaeleweka tumechoka.