cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
CM siwezi kataa kwamba wanaume hamna wenye tabia hizo, wapo hata mimi nimewaona ila bado sio wengi ukilinganisha na wanawake.
Ya wanawake nimeona kwa wengine, ndugu jamaa na marafiki zangu wa karibu na mie mara moja nilijionea namna watu walivyo na vituko. Kama mambo mengine yote mazuri kwa mabaya, kila kundi lina watu wanaojishughulisha nao. Ila tofauti ya wingi ipo kutegemeana na jambo pia kundi la watu. Ndio maana vitu kama roho mbaya/wivu/umbea hua vinahusishwa na wanawake. . .Sio kama wanaume hamna wenye hayo, ila wanaoongoza ni wanawake na ndio maana hua tunahusishwa nayo hata kama sio wote tuko hivyo.
Your highness my newly crowned queen,hapo kwenye blue ni hisia zako ndio zinakutuma kufikiri hivyo,au sbb imezoeleka kusemwa hivyo au kuna research ulifanya ukaibuka na takwimu zinazoonesha kwamba wanawake ndio tumewazidi wanaume kwa hiyo tabia au kuna source yeyote inayoaminika iliyofanya research ikaibuka na hiyo fact au ni kitu gani unatumia kudhibitisha hilo?.Tafadhali naomba unieleweshe kwa mifano na takwimu zinazoeleweka kutoka ktk vyanzo vinavyoaminika.