Tman900
Senior Member
- May 30, 2017
- 175
- 345
Ninae Rafiki Yangu Mmoja Jina lake linaanzia na Herufi H. Nimiaka mingi Sana tumefahamiana nae, Ebana Huyo mshikaji anapendwa sana na Wanawake.
Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata tumeongoza mi kutaka kuthibitisha Hilo, naeza ona mwanamke Hata kwa Mbali,na mwambia msemeshe yule tuone Kama atakubali, yaani akimsemesha mwanamke achomoi.
Na inafika hatua mpaka Wanawake wanamuomba Namba mshikaji,na wao ndo wanamtafuta.
Mwaka Jana Kuna bint nilimuona mlimani city mi nikamsemesha hakuitikia kauli Yangu, Mara Tatu namsemesha hajaitikia, Rafiki Yangu Alikua ameenda kununua maji, aliporudi nikamuadhia Kuna Mrembo kapita Hapa nimemsemesha Hata ajanibu kitu, akaniambia Yuko wapi Bint Mwenyewe Nika muonyesha yule kule...
Alitembea Fasta kumfata yule Bint akampita akaenda kwa Mbele Kuna mlinzi wa pakingi aka msalimia arafu akaanza kurudi nilipo huwezi amini alipomsemesha tu yule Bint alisimama na Namba akatoa.
Baada siku kadhaa akanipigia Simu Mida ya Saa mbili Broo Uko wapi, nkamwambia ndo natoka kazini, akaniambia Kama una mda pitia home upate Chakula Cha jioni Niko na shemeji yako.
Kwenda na.kumkuta yule Binti...
Tayari kasha Chezea koki.....
Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata tumeongoza mi kutaka kuthibitisha Hilo, naeza ona mwanamke Hata kwa Mbali,na mwambia msemeshe yule tuone Kama atakubali, yaani akimsemesha mwanamke achomoi.
Na inafika hatua mpaka Wanawake wanamuomba Namba mshikaji,na wao ndo wanamtafuta.
Mwaka Jana Kuna bint nilimuona mlimani city mi nikamsemesha hakuitikia kauli Yangu, Mara Tatu namsemesha hajaitikia, Rafiki Yangu Alikua ameenda kununua maji, aliporudi nikamuadhia Kuna Mrembo kapita Hapa nimemsemesha Hata ajanibu kitu, akaniambia Yuko wapi Bint Mwenyewe Nika muonyesha yule kule...
Alitembea Fasta kumfata yule Bint akampita akaenda kwa Mbele Kuna mlinzi wa pakingi aka msalimia arafu akaanza kurudi nilipo huwezi amini alipomsemesha tu yule Bint alisimama na Namba akatoa.
Baada siku kadhaa akanipigia Simu Mida ya Saa mbili Broo Uko wapi, nkamwambia ndo natoka kazini, akaniambia Kama una mda pitia home upate Chakula Cha jioni Niko na shemeji yako.
Kwenda na.kumkuta yule Binti...
Tayari kasha Chezea koki.....