Wanawake. . . .

inategemea gaijin.huku dodoma kuna restaurant flani inaitwa annex, wahudumu wanawake hawahudumii wanawake wenzao. Ukiwaita wanakwambia "njo wewe". Akiingia kidume sasa...(ngoja niishie hapa)

Kumbe eeh? Basi lazima nije kwenye hiyo restoranti.
 
inategemea gaijin.huku dodoma kuna restaurant flani inaitwa annex, wahudumu wanawake hawahudumii wanawake wenzao. Ukiwaita wanakwambia "njo wewe". Akiingia kidume sasa...(ngoja niishie hapa)

Hao sio hawapendi wanawake....wanapenda wanaume.

Na huyo Bossi wao mgonjwa kuruhusu tabia hiyo kuendelea
 
Hao sio hawapendi wanawake....wanapenda wanaume.

Na huyo Bossi wao mgonjwa kuruhusu tabia hiyo kuendelea

kama wangewapenda wanawake wangewahudumia kama wanavyofanya kwa wanaume. Ni kwamba hawapendi wanawake maana wanawake wakiwa wanaondoka wanaanza kuwateta. Wengine tulishaacha kwenda hapo.
 
kama wangewapenda wanawake wangewahudumia kama wanavyofanya kwa wanaume. Ni kwamba hawapendi wanawake maana wanawake wakiwa wanaondoka wanaanza kuwateta. Wengine tulishaacha kwenda hapo.

Siku hizi unaendaga wapi sasa?
 
uki-demand right yako kama mteja watakuhudumia tena kwa nidhamu zote.

Tatizo wanawake huwa wanajishtukia wakati mwingine.

Wawafanyie hivyo wanamme uone, ni timbwili tu.

inategemea gaijin.huku dodoma kuna restaurant flani inaitwa annex, wahudumu wanawake hawahudumii wanawake wenzao. Ukiwaita wanakwambia "njo wewe". Akiingia kidume sasa...(ngoja niishie hapa)
 
dear lizzy kwanza hongera kwa taji la umalkia.
Pia wapo watu ambao wakifanikiwa kidogo tu wanaanza kujenga imani kuwa watu wanawaonea wivu kumbe wala watu hata hawana habari.Na kwa vile tayari umeshajijenga iman kuwa unaonewa wivu hata watu wakikukosea au kukufanyia vitu vya kuudhi utatafsiri kuwa hawanipendi sbb nimefanikiwa kuwazidi kumbe hata ungekuwa bado hujafanikiwa wangekukosea sbb kukoseana ni kawaida.
Mim naona kauli za mfano wa WANAWAKE HAWAPENDANI ni moja ya kauli nyingi zinazoonesha jinsi gani wanawake tunaonekana ni chanzo cha matatizo ktk jamii na chanzo cha kukwamisha maendeleo sbb eti tunaambiwa mwenzetu akifanikiwa tunajaribu kumrudisha nyuma badala ya kumsaidia kusonga mbele,wakati wako wanawake wengi sana wanaosaidiana.
Wapo wanaume pia ambao wana wivu mkali na mbaya kwa wao kwa wao au kwa wanawake,tena wanaume wakizidiwa kimaendeleo na mwanamke huwa wana chuki mbaya sana sbb wamejijengea akilini kwamba wao ni lazima watuzidi.Tena wanaume wanawaonea wivu hadi wanawake waliowaoa,unakuta mke akiwa na mafanikio tu kumzidi mume,mume kauli yake ya kwanza utasikia mke wangu tokea aongezwe mshahara haniheshimu tena,kuna mathread kibao juu ya hili hapa MMU.
Watu wenye kuonea wenzao wivu wapo lakini sio wanawake tu hata wanaume wenye kuonea wenzao wivu na kutopenda maendeleo ya wenzao wapo.
Wanawake tuache kudhani kuwa ukifanikiwa kidogo tu eti watu wanakuonea wivu sababu ukiwaza kuwa watu wanakuonea wivu wewe mwenyewe ndio utaanza kuwabadilikia wenzio na wenzio wakiona umebadilika nao watabadilika halafu wakibadilika akili zitakwambia "unaona sasa hivi wanaonesha wivu wao wazi wazi"
 
uki-demand right yako kama mteja watakuhudumia tena kwa nidhamu zote.

Tatizo wanawake huwa wanajishtukia wakati mwingine.

Wawafanyie hivyo wanamme uone, ni timbwili tu.

hee! Tuanze kupigizana kelele kama tunapewa huduma bure!! Hapo ni kusepa tu wabaki wanauza nyago.
 
hapa hatuongelei kutakana wewe. Kwani hata kama nakupenda lazima nikukubali? Kwa mwendo huo nitakubali wangapi?

Kwani Yesu alipenda wangapi? Kwani na kila unaye mpenda lazima ufikirie swala la ngono?
 
@cheusimangala

umeeleza vema, hili jambo mie naliona 50/50.
Wanawake wanajali details nyingi sana anapom-access mwanamke mwenzie, uvaaji, uongeaji na vitu vingine vidogo vidogo. Sasa kama wanawake hawa wana uelewa mdogo wa mambo ndo utasikia 'wanachunguzana' au utasikia 'nilipofika akanipandisha na kunishusha'

lakini kadiri anapoelimika na kujali details ndogo ndogo na staili ya kum-acceess inabadilika, na inakuwa sio ile ambayo mtu atajisikia ofended.

Lakini, ukiangalia bond za urafiki kati ya wanawake na wanaume ni tofauti. Bond za wanawake ni 'strong' sana zinawafanya wanaspend more time, wanashare redundant information.
Na kama uko muda mwingi na mtu chances za kutofautiana ni kubwa ukilinganisha na wale wanaospend muda mchache.
 
Back
Top Bottom