Jomse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 275
- 92
Gubu ,hasira,ulevi na mawazo epukana navyo kwani vinakudestroy.utaugua maradhi makubwa.Kuwa cool kwani kuna wanaume wengine wanaamua kukukwaza makusudi kama kinga ili usiweze kumuuliza kitu.Jamani wanawake wa JF nafikiri mtakubaliana na mimi kuwa wanawake wengi tulioko kwenye ndoa sivyo tulivyo. Tumebadilika kutokana na tabia mbaya za waume zetu. wametusababisha tumekuwa na Gubu, Hasira, Kiburi, Dharau, Mawazo, Magonjwa, Ulevi, na hata utumiaji wa pesa hovyo kwa madai kwamba mbona yeye anapeleka kwa wanawake zake huko nje let me enjoy. Wanawke hoyeeeeeeeeeeee:israel: