Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
Jiulize kwanini yeye ndie aliyekubadilisha wewe badala ya wewe kumbadilosha yeye au kumweka kwenye mstari mmoja.Ni kwasababu umemruhusu kufanya hivyo....meaning he is got more power over you than you do.Swali la pili kama yeye kafanikiwa kukutoa kwenye mstari kidogo (anaweza) kwanini na wewe hukumrudisha kwenye mstari kabla hujabadilika kabisa??!Unaona kwamba huwezi au umejaribu ukashindwa?!Kama jibu la swali la kwanza ni ndio hujuamini...kama jibu la swali la pili ni ndio tofauti ya mumeo ni kwamba yeye ndo mwenye nguvu yake ila wewe huna juu yake.Hajarihusu wewe uweze kuinfluence matendo yake wakati wewe umemruhusu yeye.
Badala ya kulaumu BADILIKA. Hata siku moja usi-sacrifise mambo ambayo binafsi yanakuweka chini na kumwinua mwenzako kama ambavyo umefanya tayari.Amua kwamba kwanzia sasa nataka KUTOA na KUPOKEA na sio kutoa tu mpaka unaishiwa nguvu huku mwenzako anajilimbikizia tu bila kukupa wewe chochote.
Kama umekua vuvuzela kwa tabia yake ya kuchelewa nyumbani au mabadiliko ya tabia ACHA maana mpaka sasa hivi hujaona matokeo yoyote kwahiyo jua kwamba haisaidii.Anza kutomwonyesha kwamba ana nguvu sana ya kukukera maana ye hajali na sio ajabu anafurahia maana anaendelea tu na anajua huwezi kufanya lolote zaidi ya kuongea.Muonyeshe kwamba unaweza kwa kupunguza mdomo....we majukumu yako kama kawaida....badala ya kumpokea kwa maneno mengi ya lawama na malalamiko mpe tu pole yake ulizia siku yake ilikuaje basi.
Kama unakunywa pombe kwasababu ya kero yake ACHA....kunywa tu iwapo wewe unataka kufanya hivyo!
Kama unaishi kwa gubu acha na ujifunze KUTABASAMU UPYA...kama mna watoto furaha yako ielekeze kwao.
Mruhusu akuone unafuraha hata pamoja na matendo yake ya ajabu....atabadilika wenyewe pale ulimbukeni wa pesa utakapomuisha....huwezi kumlazimisha maana ukiendelea hivi nae atakosa sababu ya kubadilika na kuanza kuwahi nyumbani (mf) kwaajili ya kelele.CONTROL YOURSELF WOMAN!
Badala ya kulaumu BADILIKA. Hata siku moja usi-sacrifise mambo ambayo binafsi yanakuweka chini na kumwinua mwenzako kama ambavyo umefanya tayari.Amua kwamba kwanzia sasa nataka KUTOA na KUPOKEA na sio kutoa tu mpaka unaishiwa nguvu huku mwenzako anajilimbikizia tu bila kukupa wewe chochote.
Kama umekua vuvuzela kwa tabia yake ya kuchelewa nyumbani au mabadiliko ya tabia ACHA maana mpaka sasa hivi hujaona matokeo yoyote kwahiyo jua kwamba haisaidii.Anza kutomwonyesha kwamba ana nguvu sana ya kukukera maana ye hajali na sio ajabu anafurahia maana anaendelea tu na anajua huwezi kufanya lolote zaidi ya kuongea.Muonyeshe kwamba unaweza kwa kupunguza mdomo....we majukumu yako kama kawaida....badala ya kumpokea kwa maneno mengi ya lawama na malalamiko mpe tu pole yake ulizia siku yake ilikuaje basi.
Kama unakunywa pombe kwasababu ya kero yake ACHA....kunywa tu iwapo wewe unataka kufanya hivyo!
Kama unaishi kwa gubu acha na ujifunze KUTABASAMU UPYA...kama mna watoto furaha yako ielekeze kwao.
Mruhusu akuone unafuraha hata pamoja na matendo yake ya ajabu....atabadilika wenyewe pale ulimbukeni wa pesa utakapomuisha....huwezi kumlazimisha maana ukiendelea hivi nae atakosa sababu ya kubadilika na kuanza kuwahi nyumbani (mf) kwaajili ya kelele.CONTROL YOURSELF WOMAN!