Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,283
My take ni kwamba mtu yeyote asiyejua anakoelekea basi njia yoyote humfikisha kwenye safari hiyo...huwezi kua muadilifu na mwenye tabia njema tokea utotoni na ghafla badae uwe na hulka na tabia zisizofaa huku ukijipa tumaini mazingira ndiyo yamekubadili!...Hata kidogo!