sasa inakuaje ikuume hivyo, kama ni maembe mabichi!! loh!
Jicho hujaolewa nini? nitafute nikupe dawa utaolewa fasta!
Au ndio maana Kameruni kaliona hilo, na ndio maana anataka tuchague totoz za kiumeni tuzioe?
Najitolea tu mie kama Lema!! Nimeze tu jamani!! Loh!
Yamebaki manungayaembe yanahangaika.
uchokozi huu!
Hivi weye kigori hujaolewa eeh!
Wapi mpwa maskini jeuri...njoo huku, kuna kabinti kazuurii, kana tabia nzuriii..
Khaaa!! Ndio umeshanimeza hivyo!! Loh!
Jicho! We Mngoni nini!! Loh!