Halafu weweee! Unatafta ugomvi eeh? Lol
Hehehe,, Kwani manungayaembe manake nini!!
mwambie....oohoo...
mwambie....oohoo...
ndo matatizo ya wanaume wa bongo.mwanamke akifanya kitu flani wanauliza? ila wao ni poa ukipandishwa cheo kazini umetembea na bos ila wao wakipandishwa wanastahili , mtabaki kuchonga tu najua umenielewa
Hehehe,, Kwani manungayaembe manake nini!!
nakumbuka hii nyimbo na MAKURUFU ilipigwa.Na log offTatizo wanajishtukia wenyewe!! Loh!