Wanawake wazuri wazuri wameolewa.........................

MANUNGAYEMBE ni neno linalotumika kule Ungonini (Songea) kwa wanawake viruka njia (waliodharaulika). Maana ya neno hili ni 'WAOKOTA MAEMBE' yaani wanawake wa aina hii ni wale ambao hulala kona (kwa wanaume) na kuwahi kuondoka asubuhi sana kurejea makwao huku wakipita kuokota embe zilizoanguka usiku. Si mnajua ule muda wa kuokota embe alfajiri?
 
MANUNGAYEMBE ni neno linalotumika kule Ungonini (Songea) kwa wanawake viruka njia (waliodharaulika). Maana ya neno hili ni 'WAOKOTA MAEMBE' yaani wanawake wa aina hii ni wale ambao hulala kona (kwa wanaume) na kuwahi kuondoka asubuhi sana kurejea makwao huku wakipita kuokota embe zilizoanguka usiku. Si mnajua ule muda wa kuokota embe alfajiri?

Ndio mana inawauma!! Loh!! ukweli unauma!!
 
Khaa!! wanasemaje!

wengi tu wanajuuuuta! wanawatamani hao wanaoitwa manungayembe! hahahah! af kuna mwingine aliwahi kusema nikiwepo kwamba kama ingetokea anajikuta (kwa mfano) dunia imeanza upya asingerudi kwa mwanamke aliyenaye, wakati ndio kwanza wameanza maisha..! huwa najiuliza kila siku anafata nini kwenye hiyo ndoa sasa!!
 
wengi tu wanajuuuuta! wanawatamani hao wanaoitwa manungayembe! hahahah! af kuna mwingine aliwahi kusema nikiwepo kwamba kama ingetokea anajikuta (kwa mfano) dunia imeanza upya asingerudi kwa mwanamke aliyenaye, wakati ndio kwanza wameanza maisha..! huwa najiuliza kila siku anafata nini kwenye hiyo ndoa sasa!!

Loh!!!!!!
 
Back
Top Bottom