Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Najua mtanibishia sana,lakini ukweli wa kile ninachokishuhudia na kinachotokea kinawatia hatiani. . . . .
Niliwahi kuwa na uhusiano wakati fulani na Luteni wa JW,lakini kabla uhusiano wangu ule na yule dada haujashika kasi niliamua kumwambia ukweli yule dada kunihusu,bahati nzuri sikua na elimu aliyokua akihitaji yule dada,na pia kingine ambacho sikua nacho ambacho alihitaji niwe nacho ni pesa,uhusiano wetu ulikufa siku ileile,usishangae nilivyosema bahati nzuri,we hujui kujua mtu ni wa hovyo mapema ni bahati,alinieleza wazi hawezi kuwa na mtu mwenye elimu kama yangu halafu asiekua na hela,nilicheka sana,wadada wa aina hii nimekutana nao wengi,wengine hawasemi lakini unajua tu . . . . . . Tangu mwaka uanze mpaka leo nimeshuhudia mahusiano kumi tofauti yakifa yangali machanga,na yamekufa baada ya wadada kugundua wanaume walionao,hawana hela wala elimu kubwa.
Lakini pia najua mahusiano zaidi ya matano ambayo yanaendelea lakini wanaume wale wamewadanganya wanawake kuhusu kipato na elimu.Je wanawake mnapenda uongo? . . . . . Ukweli ulio wazi ni kuwa,wanawake hawawataki wanaume kama mimi wasio na elimu wala pesa.Najua mtakuja na ubishi wenu hapa na maisha yenu ya mdomoni msiyoyaishi ya kudai eti mnataka mwanaume mwenye upendo wa dhati wakati mnajua ni uongo.
Mwanamke anataka mwanaume mwenye hela, elimu kubwa na sura kama ya mdoli.
Hayo ya upendo na kumjua Mungu ni uongo. Hebu nenda Love Connect (hua naiona kama chit-chat) uone kama sisi wa darasa la saba na tunaishi kwa vibarua kama tuna nafasi. Tukiacha mizaha ya love connect, Ukweli ndo huo, hayo ndo yanayotokea mitaani, ukija huku wanajidai nataka mwanaume mwenye upendo mengine mungu atatupa,ukikutana nae mtaani anakuangalia juu chini kisha anakuhoji elimu na kazi unayofanya,mkiachana unaona simu hapigi tena wakati kabla hajajua kuhusu hayo ya kazi na elimu,sms na simu mpaka zilikua kero(nina watu wa3 yamewatokea).
Mimi kwa mfano,sijazoea kudanganya,waliopata kukutana nami wanajua,ninakuambia ukweli,mimi ni darasa la saba,kama unasepa usepe,sina sababu ya kudanganya,mara niazime gari sijui nguo!
Nakuambia wazi nakaa uswazi,nyumba haina bafu,ukitaka kuoga unasubiri usiku,choo pasport size,huwezi tembea,niache atakaeona upendo ndo mpango mzima atakua nami.
Kama hujiamini utaishi maisha fake sana. . . . . . . . All an all wanawake 98% wanataka wanaume wenye hela na elimu kubwa,ila watu hawa wamegeuka kilio kwa akina dada baada ya hao jamaa kutokua waaminifu.
Huo ndio UKWELI hata mkibisha!Action speaks than words!!!!
Niliwahi kuwa na uhusiano wakati fulani na Luteni wa JW,lakini kabla uhusiano wangu ule na yule dada haujashika kasi niliamua kumwambia ukweli yule dada kunihusu,bahati nzuri sikua na elimu aliyokua akihitaji yule dada,na pia kingine ambacho sikua nacho ambacho alihitaji niwe nacho ni pesa,uhusiano wetu ulikufa siku ileile,usishangae nilivyosema bahati nzuri,we hujui kujua mtu ni wa hovyo mapema ni bahati,alinieleza wazi hawezi kuwa na mtu mwenye elimu kama yangu halafu asiekua na hela,nilicheka sana,wadada wa aina hii nimekutana nao wengi,wengine hawasemi lakini unajua tu . . . . . . Tangu mwaka uanze mpaka leo nimeshuhudia mahusiano kumi tofauti yakifa yangali machanga,na yamekufa baada ya wadada kugundua wanaume walionao,hawana hela wala elimu kubwa.
Lakini pia najua mahusiano zaidi ya matano ambayo yanaendelea lakini wanaume wale wamewadanganya wanawake kuhusu kipato na elimu.Je wanawake mnapenda uongo? . . . . . Ukweli ulio wazi ni kuwa,wanawake hawawataki wanaume kama mimi wasio na elimu wala pesa.Najua mtakuja na ubishi wenu hapa na maisha yenu ya mdomoni msiyoyaishi ya kudai eti mnataka mwanaume mwenye upendo wa dhati wakati mnajua ni uongo.
Mwanamke anataka mwanaume mwenye hela, elimu kubwa na sura kama ya mdoli.
Hayo ya upendo na kumjua Mungu ni uongo. Hebu nenda Love Connect (hua naiona kama chit-chat) uone kama sisi wa darasa la saba na tunaishi kwa vibarua kama tuna nafasi. Tukiacha mizaha ya love connect, Ukweli ndo huo, hayo ndo yanayotokea mitaani, ukija huku wanajidai nataka mwanaume mwenye upendo mengine mungu atatupa,ukikutana nae mtaani anakuangalia juu chini kisha anakuhoji elimu na kazi unayofanya,mkiachana unaona simu hapigi tena wakati kabla hajajua kuhusu hayo ya kazi na elimu,sms na simu mpaka zilikua kero(nina watu wa3 yamewatokea).
Mimi kwa mfano,sijazoea kudanganya,waliopata kukutana nami wanajua,ninakuambia ukweli,mimi ni darasa la saba,kama unasepa usepe,sina sababu ya kudanganya,mara niazime gari sijui nguo!
Nakuambia wazi nakaa uswazi,nyumba haina bafu,ukitaka kuoga unasubiri usiku,choo pasport size,huwezi tembea,niache atakaeona upendo ndo mpango mzima atakua nami.
Kama hujiamini utaishi maisha fake sana. . . . . . . . All an all wanawake 98% wanataka wanaume wenye hela na elimu kubwa,ila watu hawa wamegeuka kilio kwa akina dada baada ya hao jamaa kutokua waaminifu.
Huo ndio UKWELI hata mkibisha!Action speaks than words!!!!