Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
si wataka kujua here i am. Bishanga mimi ni miongoni mwa wanawake wachache sana wanaopenda na wanaojua kufanya mchezo wa matusi. Ila tu ni mwanamke ambaye huwa nafanya na mtu aliye ujaza moyo wangu na ambaye aweza kunipa raha niitakayo wakati wa kucheza. so shombo la nje siliwezi mimi. .........siwez kuingia rum na mtu for an hour damn shit!.............. manake hutonitoa kiu so bora kipapa nimrudishie mwenye nacho bro.
niko radhi hata kuhonga kwa aujazaye moyo wangu ili tu tucheze kama siku hiyo hajiskii. Nikuulize swali ulishawah hongwa na mkeo weye ili mcheze since you married? But mm huwa nahonga labda kila siku ili tu nipigwe mpera.Nasiongelei eti kwasababu hakuna anijuaye bali ni ukweli na mwenyewe aweza thibitisha. so ma brother ukipata mke kama mimi utakonda aisee.
bishanga mchana nikishaanza kupokea vi meseji vya ' mme wangu leo wahi kurudi' nikifika nikakuta msosi niupendao unanisubiri mezani na pembeni kachupa ka dodoma presidential wine,nikiingia chumbani nikasikia harufu ya waridi...najua yes leo mama kayai anataka mechi......sasa kuhongwa tena basi labda huku ndo kuhongwa,,we watoa mihela kabisa?