Akiiona mume hii atajua nimeanza kupoza kwa maex.Sitaki mie😓Babe si uje karibu yangu tucheke cheke pamoja halafu tufurahie...
Unacheat tu kimyakimya hatajua.Akiiona mume hii atajua nimeanza kupoza kwa maex.Sitaki mie😓
Ndo ujue kwamba hili bango ni la uongo😅
Eti eeeh!!😂🙆♀️. WanatupangaNdo ujue kwamba hili bango ni la uongo😅
Na mshahara unao, shukuruNimeoa mwanasheria. Kazi ninayo.
🤣🤣wee,sema kweli?😅Unacheat tu kimyakimya hatajua.
Hao viazi lolote liwakute aseeNafahamiana na wanawake wengi sana wanasheria, wenye tabia njema na wenye uzuri na mvuto wa kila aina.
Wanawake hawa wengi hawana waume, hata kama wana watoto.
Baadhi walifanikiwa kuingia kwenye taasisi ya ndoa, wengi ndoa zao zikafa, licha wapo wachache zimesimama imara.
Kwanini hali ni tofauti na walimu ambao wengi wao wameolewa na ndoa zao zinadumu sana?
qmamae na ukimvamia anakufungulia jinai ya shambulio la kimwiliUnaoa mwanasheria, unamwambia nataka mzigo, anakufungulia darasa la haki za wanawake, mwanamke ana haki ya kuchagua na kuamua ni lini na wapi afanye mapenzi.
Walimu hawana pesa wanategemea sana wanaume, kwa hivyo hawana uhuru wa kutoka kwenye ndoa hata kama wanapigwa.Nafahamiana na wanawake wengi sana wanasheria, wenye tabia njema na wenye uzuri na mvuto wa kila aina.
Wanawake hawa wengi hawana waume, hata kama wana watoto.
Baadhi walifanikiwa kuingia kwenye taasisi ya ndoa, wengi ndoa zao zikafa, licha wapo wachache zimesimama imara.
Kwanini hali ni tofauti na walimu ambao wengi wao wameolewa na ndoa zao zinadumu sana?
Jana yenyewe kilinukaNa mshahara unao, shukuru
Wanajua sheria, wana uzoefu na viapo. Kwanini wanakubali kanisani kuapa kwamba tutaishi pamoja kwenye shida na raha, nitakuwa mtiifu hadi kifo kitutenganishe?Walimu hawana pesa wanategemea sana wanaume, kwa hivyo hawana uhuru wa kutoka kwenye ndoa hata kama wanapigwa.
Wanasheria wana pesa, wanajua sheria, wakizinguliwa kidogo tu wanasepa.
Hajakwambia Putin alimwomba aende Marekani akamuombe Joe Biden ampunguzie vikwazo vya uchumi?Ujuaji Wa Sheria Wanaleta Hadi Kwenye Ndoa.
Kuna Mwanamke Mmoja Ni Jirani Yangu Huwa Anajiona Mjuaji Sana Hadi Kwenye Mambo Ya Mipaka Huwa Nawangalia Tu.
Kwa sababu wanajua viapo vyote vinaweza kutenguliwa.Wanajua sheria, wana uzoefu na viapo. Kwanini wanakubali kanisani kuapa kwamba tutaishi pamoja kwenye shida na raha, nitakuwa mtiifu hadi kifo kitutenganishe?
Anaweza hata kukusingizia unaficha bunduki na meno ya tembo ndani, alipoona uhalifu wako ndipo ukampiga na kuvihamisha hivyo vitu huku ukimtisha kwamba akifichua siri ndio mwisho wa maisha yake!qmamae na ukimvamia anakufungulia jinai ya shambulio la kimwili
Hivi ni kweli wadada wengi wanasheria hawako kwenye ndoa na walimu walio wengi wapo kwenye ndoa au ni hisia tu za watu kutokana na anecdotes zao?Walimu hawana pesa wanategemea sana wanaume, kwa hivyo hawana uhuru wa kutoka kwenye ndoa hata kama wanapigwa.
Wanasheria wana pesa, wanajua sheria, wakizinguliwa kidogo tu wanasepa.