Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
muandalieni na makongoro ya kitimoto!.....
Hehehe! hiyo ukiipata halafu ukashushia na valuu, bht hawezi toka droo. That much I can swear!
muandalieni na makongoro ya kitimoto!.....
Not bad move anyway! Hiyo kumlaumu inaweza kuwa na maana nyingine labda. Mpwa ana mavokabulari mengine mtu unapaswa ukae chonjo.
umekula SENKSI HAPA!hakuna namna anaweza kutoka droo,NOT ME GEOFF-MPWA ORIJINOHehehe! hiyo ukiipata halafu ukashushia na valuu, bht hawezi toka droo. That much I can swear!
muandalieni na makongoro ya kitimoto!.....
umekula SENKSI HAPA!hakuna namna anaweza kutoka droo,NOT ME GEOFF-MPWA ORIJINO
no thank you joff
umekula SENKSI HAPA!hakuna namna anaweza kutoka droo,NOT ME GEOFF-MPWA ORIJINO
umekula SENKSI HAPA!hakuna namna anaweza kutoka droo,NOT ME GEOFF-MPWA ORIJINO
Hahaha! I can see your feelings in that red! My little angel!
heheheheh!huyu nahisi mmiliki ni memba humu anamstadi!...Hahaha! Mtoto kasepa tayari! Jaribu kwa PM sasa. Afu udanganye kiduchu. Inaelekea anapenda kudanganywa.
i swear!CROSS MY HEART!NOT Iangalia kauli zako hizo na uzihifadhi....shauri yako
heheheheh!huyu nahisi mmiliki ni memba humu anamstadi!...
Hahaha! Mtoto kasepa tayari! Jaribu kwa PM sasa. Afu udanganye kiduchu. Inaelekea anapenda kudanganywa.
mimi nasapoti kwani nilishakosa demu hivi hivi kwa kumwambia ukweli tena na ulimsaidia sana. Cha kushangaza akapata mtu ambaye mimi namjua akamwambia yeye mambo safi demu akaingia laini sasa jamaa kumbe choka mbaya sasa ameshazaa na jamaa tena ndo hivyo. Nilimpata demu mmoja juzi mitaa ya posta kwani nilikuwa natoka kanisani cha nilipomwona nikamdangaya nina gari ipo gereji nimekuja kudroo pesa kidogo hapa crdb sasa demu akaingia laini nilipofika maeneo fulani nikalamba kisha nikamwambia kesho aje ofisini nilimdanganya na akaenda kumbe mimi fisi ni mlalahoi tu nina ishi mbagala. Asante kwa kuleta topic hii