Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,730
- 155,414
- Thread starter
- #81
Hayo ndio mambo ya ndoa
Ndoa za walokole na zenyewe zina longolongo?
Kwanini mpaka umdanganye amependeza?Siumpendezeshe kweli!
Sioni udanganyifu uko wapi katika hayo!!!Kila mtu aliyeko penzini ana haki ya kudanganywa, kusifiwa na kupewa bichwa na mpenzi wako.
Hebu fikiria mke au mumeo hajawahi kukuambia kuwa umependeza hata mara moja, au mumeo hajawahi kukuambia kuwa wewe ni mzuri, au mkeo hajawahi kukuambia kuwa una akili sana , je utajisikiaje?
Kwanini mpaka umdanganye amependeza?Siumpendezeshe kweli!
Sioni udanganyifu uko wapi katika hayo!!!
Kama hujapendeza akwambie umependeza?
Kama ni mzuri akwambie ni mbaya?
Shda ni kwamba watu tunachukulia kuwa vigezo vya BUJIBUJI NDO VIWE VYA mIKELA...Big No!
Vile utakavyoambiwa au kutokuambiwa na mkeo au mumeo ndo ukweli kwake yeye!
Ndoa inawezekana bila kudanganyana!...Wanaodanganya ni wale wanaofoji aina ya upendo ambao haupo, na wanataka kuishi maisha ambayo siyo ya class yao, kwa nia ya kutaka waonekane wako juu, kumbe wanateseka.!
I hate cheating!
hapana wote tupendezeshane.kwanini yeye ndio apendezeshwe?
Sasa kwanini usimvike yanayoendana na umbo lake mpaka uone kapendeza?Au ndo ile "nimemwona mke wa fulani kapendeza na pedo..na wewe embu vaaga upendeze." wakati mama miguu kama chelewa!issue ni kwamba unaweza ukamvika mkeo mavazi mazuri tu, lakini umbo lake lisionyeshe ni kwa kiasi gani amependeza!sasa hapo moyo unakuwa mgumu kusema wife umependeza, kwa hali halisi utajilazimisha tu kusema, lakini kiukweli hamna kitu!
nimeipenda hii...big up! merry christmas...Ndoa za walokole na zenyewe zina longolongo?
mimi sijui mwenzenu nikoje,sipendi kuambiwa nimependeza,kama naona aibu mtu akiniambia hivyo. Na huwa naona sawa tu kama sijaambiwa umependeza.