Ukweli upo,lkn si kwa wanawake wote,hasa ktk kizazi cha sasa ambacho hakipendi majukumu ya kifamilia.Pia Mungu ndiye aliyeyafanya hayo ya kwamba mtoto akae tumboni mwa mama.Kama angetaka akae kwa baba ingekuwa hivyo tu. Kwa ni2 tuwe tunalalamika na wanawake/wasichana tu ktk suala la kifamilia kuhusu malezi ya hawa watoto wa kambo na mahousegirl?!!.Kwa hiyo hiyo tabia ipo ila si kwa wanawake wote.Mwanamke kuwa na tumbo la kunitunzia mi2 haimaanishi asiwe na maelewano na wale ambao hawajakaa tumboni mwake!!