Kwanini vibonge wengi wana roho nzuri?

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,485
99,214
Kuna utafiti mdg usio rasmi nmeufanya,

Asilimia kubwa ya Watu wanene sana (VIBONGE) Wana roho nzuri sana (Hawana roho mbaya,kijicho Wala husda na Cha mtu) na wana huruma sana (hasa wanawake)

Nmefatilia Sana,
1. Hasa Wale mama wa kambo wenye roho nzuri, wasionyanyasa watoto wa kufikia, Ukimchunguza vizur utagundua Ni wale WAMAMA VIBONGE

2. Manesi au wakunga wanaohudumia vizur wajawazito bila visirani, asilimia kubwa Ni VIBONGE

3. Walimu wengi wasio-wanoko Sana enzi zile nasoma, walikua ma-madam VIBONGE

4. Wamama wanaodekeza Sana watoto wao, asilimia kubwa Ni wamama VIBONGE. (mama angu Alkua mwembaba, Cha Moto nilikiona ktk ukuaji wangu,sijadeka kabisa kwa mama)

5. Rafiki zangu wengi wa kiume VIBONGE. Hawana roho mbaya kabisa, wao Ni peace&love

6. Mr. Christmass Ni kibonge, ona alivyo na upendo na watoto.

7. J.B mwigizaji nae Ni kibonge,hanaga baya na mtu.

8. Mzee wa kilingeni humu jf nae Ni kibonge, mtu Peace Sana humu jf

9. Hata Matrafiki wasioonea sana madereva, asilimia kubwa utagundua Ni WALE trafiki VIBONGE

10. Kwenye ofisi za serikali, ukimkuta boss kibonge. Utahudumiwa vizuri Sana.

Aisee, Mifano Ni mingi Sana,
Nanyi mnaweza kuongeza ya kwenu

Wataalam wa afya mtwambie,
Unene au wembamba una mahusiano gani na roho ya mtu, kwanini vimbaumbau ndo wanaongoza kwa roho mbaya DUNIANI?

Nawasilisha
 
Kuna utafiti mdg usio rasmi nmeufanya,

Asilimia kubwa ya Watu wanene sana (VIBONGE) Wana roho nzuri sana (Hawana roho mbaya,kijicho Wala husda na Cha mtu) na wana huruma sana (hasa wanawake)

Nmefatilia Sana,
1. Hasa Wale mama wa kambo wenye roho nzuri, wasionyanyasa watoto wa kufikia, Ukimchunguza vizur utagundua Ni wale WAMAMA VIBONGE

2. Manesi au wakunga wanaohudumia vizur wajawazito bila visirani, asilimia kubwa Ni VIBONGE

3. Walimu wengi wasio-wanoko Sana enzi zile nasoma, walikua ma-madam VIBONGE

4. Wamama wanaodekeza Sana watoto wao, asilimia kubwa Ni wamama VIBONGE. (mama angu Alkua mwembaba, Cha Moto nilikiona ktk ukuaji wangu,sijadeka kabisa kwa mama)

5. Rafiki zangu wengi wa kiume VIBONGE. Hawana roho mbaya kabisa, wao Ni peace&love

6. Mr. Christmass Ni kibonge, ona alivyo na upendo na watoto.

7. J.B mwigizaji nae Ni kibonge,hanaga baya na mtu.

8. Mzee wa kilingeni humu jf nae Ni kibonge, mtu Peace Sana humu jf

9. Hata Matrafiki wasioonea sana madereva, asilimia kubwa utagundua Ni WALE trafiki VIBONGE

10. Kwenye ofisi za serikali, ukimkuta boss kibonge. Utahudumiwa vizuri Sana.

Aisee, Mifano Ni mingi Sana,
Nanyi mnaweza kuongeza ya kwenu

Wataalam wa afya mtwambie,
Unene au wembamba una mahusiano gani na roho ya mtu, kwanini vimbaumbau ndo wanaongoza kea roho mbaya DUNIANI?

Nawasilisha
Kwa sababu hawajiwezi kukimbia
Kikinuka mda wowote lazima.waombe msaada
 
Kuna utafiti mdg usio rasmi nmeufanya,

Asilimia kubwa ya Watu wanene sana (VIBONGE) Wana roho nzuri sana (Hawana roho mbaya,kijicho Wala husda na Cha mtu) na wana huruma sana (hasa wanawake)

Nmefatilia Sana,
1. Hasa Wale mama wa kambo wenye roho nzuri, wasionyanyasa watoto wa kufikia, Ukimchunguza vizur utagundua Ni wale WAMAMA VIBONGE

2. Manesi au wakunga wanaohudumia vizur wajawazito bila visirani, asilimia kubwa Ni VIBONGE

3. Walimu wengi wasio-wanoko Sana enzi zile nasoma, walikua ma-madam VIBONGE

4. Wamama wanaodekeza Sana watoto wao, asilimia kubwa Ni wamama VIBONGE. (mama angu Alkua mwembaba, Cha Moto nilikiona ktk ukuaji wangu,sijadeka kabisa kwa mama)

5. Rafiki zangu wengi wa kiume VIBONGE. Hawana roho mbaya kabisa, wao Ni peace&love

6. Mr. Christmass Ni kibonge, ona alivyo na upendo na watoto.

7. J.B mwigizaji nae Ni kibonge,hanaga baya na mtu.

8. Mzee wa kilingeni humu jf nae Ni kibonge, mtu Peace Sana humu jf

9. Hata Matrafiki wasioonea sana madereva, asilimia kubwa utagundua Ni WALE trafiki VIBONGE

10. Kwenye ofisi za serikali, ukimkuta boss kibonge. Utahudumiwa vizuri Sana.

Aisee, Mifano Ni mingi Sana,
Nanyi mnaweza kuongeza ya kwenu

Wataalam wa afya mtwambie,
Unene au wembamba una mahusiano gani na roho ya mtu, kwanini vimbaumbau ndo wanaongoza kea roho mbaya DUNIANI?

Nawasilisha
Kuna ukweli mke wangu ni bonge ila siwezi kusema vibaya kwenye roho nzuri mpole ila kujiliza jiliza ndo shida yake, hana baya na mtu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom