Khabari ya Jumapili kwa mpigo,
Kuna gynecologist mmoja maarufu sana hapa nchini anasema kati ya wanawake 20 wenye umri kati ya miaka 16 – 35 wanaopelekwa kujifungua, 15 hujifungua kwa njia ya caesarean section.
Bingwa huyo amedai kuwa hiyo inatokana na wanawake wengi wa siku hizi kuwa "wanadeka sana" hasa wakiwa wajawazito.
Akiwafananisha na wale waliozalizaliwa hasa nyuma ya miaka ya 70, amesema hawa wa siku hizi ni "wavivu" wanapokuwa wajawazito, hawapendi kujishughulisha.
"Utamkuta mdada mjamzito eti kwa kuwa ana msaidizi/wasaidizi basi nyumbani hashiki kitu, yeye ni kulala tu….wenzao wa zamani walikuwa wanajishughulisha bwana, yaani huwezi kumjua kama mjamzito kwa kazi anazozifanya…mara ataenda shamba, atabeba kuni, akirudi atachota maji, atafua, atapika…ili mradi yupo bize….hata delivery kwao ilikuwa rahisi sana…tena wengi wao waliweza kujifungulia nyumbani, wengine bila hata msaidizi. Hawa wa sasa thubuuutu" alisema bingwa huyo.
Wadau hii ni kweli..?
Kuna gynecologist mmoja maarufu sana hapa nchini anasema kati ya wanawake 20 wenye umri kati ya miaka 16 – 35 wanaopelekwa kujifungua, 15 hujifungua kwa njia ya caesarean section.
Bingwa huyo amedai kuwa hiyo inatokana na wanawake wengi wa siku hizi kuwa "wanadeka sana" hasa wakiwa wajawazito.
Akiwafananisha na wale waliozalizaliwa hasa nyuma ya miaka ya 70, amesema hawa wa siku hizi ni "wavivu" wanapokuwa wajawazito, hawapendi kujishughulisha.
"Utamkuta mdada mjamzito eti kwa kuwa ana msaidizi/wasaidizi basi nyumbani hashiki kitu, yeye ni kulala tu….wenzao wa zamani walikuwa wanajishughulisha bwana, yaani huwezi kumjua kama mjamzito kwa kazi anazozifanya…mara ataenda shamba, atabeba kuni, akirudi atachota maji, atafua, atapika…ili mradi yupo bize….hata delivery kwao ilikuwa rahisi sana…tena wengi wao waliweza kujifungulia nyumbani, wengine bila hata msaidizi. Hawa wa sasa thubuuutu" alisema bingwa huyo.
Wadau hii ni kweli..?