Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
we si mchaga! its quite understandable binamu.
Hebu angalia hapo juu kuna kitu ulikiandika tukashindwa kukuelewa.
we si mchaga! its quite understandable binamu.
nachomaanisha ni kwamba, wanawake wengine hupenda kuwa na mwanaume ambaye yuko committed kwingine ili matumizi yake madogo madogo yawe met, lakini pia asibanwe/asigandwe ili awe free kujichanganya na wengine, especially wale wanaojali wallet zenu kuliko nyie wenyewe. umenielewa mpwa?Hahahaha unajua hapa sijakuelewa ulitaka uongelee nini haswa?
Nisikutumie wkt umenitumia p'se recharge me!
ZD si waharibifu!!! ndo zao wanataka kutafuniwa wameze tu sasa imekula kwenu
ZD, lilyflower FL Pretty mwendo wetu ule ule....lets do our bit!![/QUOTE]
Leo mkesha wapi, mpaka kieleweke...........
sijajua by we have a wide choise hata kwa yule wa mbezi sawa tu
kama nina mama kjjn na nahitaji kuongea nae je? halafu hawa wanawake wakuomba vitu kama credoo nao khaa, natamani niwape semina wawe wanawabomu viwanja na magari...
Mwendo gani? Wa kuzengea wanaume waliooa? agggrrrrrr!
we si mchaga! its quite understandable binamu.
weeeeeeeeeee nani anataka vya kuibia wewe??? sisi sio wa kihivo
Ndo maana uliingia mitini kwenye get tugedha? Hahaha!
FYI wapwa wakiwa tungi wanakuwa makini kuliko wakiwa sober. Vinanda kwa wingi na Memory Card haiingii virus! Muulize ZD kama unabisha. Alilewa banta jana wakati wapwa tunasokomeza ulabu na kusokomezea na njiwa.hahaaaaa machali yalinicheza tena bora ningekuja, nawaacha mzichabange weeee mkiwa chakari nawasachi nasepa!!! teh teh!!!
FYI wapwa wakiwa tungi wanakuwa makini kuliko wakiwa sober. Vinanda kwa wingi na Memory Card haiingii virus! Muulize ZD kama unabisha. Alilewa banta jana wakati wapwa tunasokomeza ulabu na kusokomezea na njiwa.
mlilewa wote fidel muulize tuktuk yake imelala wapi?? ilimshinda jana
Hahahaa,Bht hujipendi? wapwa wapo makini hao ni balaa.Yani bora hata usiwe na begi kubwa,wanasechi kama umebeba glasi.hahaaaaa machali yalinicheza tena bora ningekuja, nawaacha mzichabange weeee mkiwa chakari nawasachi nasepa!!! teh teh!!!
Hahahaa,Bht hujipendi? wapwa wapo makini hao ni balaa.Yani bora hata usiwe na begi kubwa,wanasechi kama umebeba glasi.
Hahahaa,Bht hujipendi? wapwa wapo makini hao ni balaa.Yani bora hata usiwe na begi kubwa,wanasechi kama umebeba glasi.
usiniambie!!!! loh baraaaaaaaaaa hiyo!! eti ulilewa nanihiii ni kweli Xpin ndo kasema lakini...
Ndio kasema hivo? Nililewa mapenzi sio kinywaji,si unajua shemejio ninavompenda.Ila naomba mwambie asitoe siri za ndani tena.
Unaanza kutoa siri! au kwa vile ulivyoondoka nilikuwa bado nimelala?Nisamehe bac.nmwaaaaaaa!Baeleze mamaa! Banta, dare ze moa! Hahaha! Leo mchumba hata hujanisalimia, tabia gani umeanza?