Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
cjui zinawatoshaga ngapi coz mie mambo ya credo najihudumia mwenyewe kutokana na mawasiliano yangu yalivyo, sasa hiyo buku kwa kweli mhh, haya ndio mnawa2mia hiyo buku then mnalalama kwamba mna2ma lakini hawawacal, sasa utamcal vipi m2 na credo ya buku na c ajabu yeye alivyokuomba ana mawacliano yake ya muhimu na wa2 wengine...ahh
Wale wa uswahili hata credo ya 500 ukimrushia rushia mara kadhaa wanamegeka unakuja kwa bwashee anapiga kiepe jike na Njiwa then pilipili kwa wiiiiiingi na kachumbali kisha akatelemshia na Banta dah cost haizidi 5000/= mwanamke hapo atazidisha pendo mara dufu kwa hiyo nyumba ndogo. Haya mambo nayashuhudia sana kwenye sehemu nako patia Ndovu