Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio kwenye usafiri wa umma

lazima ukae

JF-Expert Member
May 15, 2013
791
403
Zamani nilijua wanaume ndio tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikuwa wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati amesimama nyuma ya mwanamke.

Siku hizi mambo yamekuwa vice versa ambapo mfano kwenye mabasi ya Mwendokasi mwanamke anaweza ingia ndani na kuna sehemu kubwa tu ya kusimama bila kubanana lakini utashangaa anasimama mbele yako huku akisugua sugua makalio yake kwenye sehemu za siri za mwanaume.

Iliwahi nitokea hii, kuna siku mdada mmoja alipandia kituo cha njiani cha mwendokasi ila alipoingia tu akaniwekea makalio yake kwa mbele huku akijisugulisha makalio yake kwa mzee Abdallah kichwa wazi.

Nilikuwa nahitajidi sana kumkwepa na ilifika point nikamwambia dada samahani simama vizuri mana unanilalia ndo akasimama straight baada ya kujishtukia na kugundua kwamba mimi sio mzee wa zile pigo.

Nyumbani nina mke napata chululuu kila ninapohitaji isipokuwa tu zile siku ambazo mke wangu anaingia mwezini sasa ukijaribu kunishawishi kwa staili ile ni ngumu sana kushawishika, kuna wakati mwanamke anaweza hisi labda jogoo hapandi mtungi kumbe nyumbani una mke na sio mgeni wa papuchi.

Je wewe mdau ushawahi kutana na changamoto kama hii kwenye usafiri wa umma?

===

Pia soma:
Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume
 
Ni changamoto mno. Upo zako kwenye usafiri umesimama unawaza maisha. Ghafla unasogezewa bonge la msambwanda, ukijisogeza na yeye ana sogeza, ukienda nyuma na yeye anaenda nyuma, ukienda pembeni na yeye hukohuko pembeni.

Mambo gani haya tunafanyiana? Huu ni unyanyasaji wa kijinsia! Serikali iingilie kati!
Tunatiana kwenye majaribu na vishawishi!
Kutiana upwiru bila sababu za msingi!
 
Umenikumbusha dada mmoja nilimpisha ashuke kwa kumuachia njia nyuma yangu akagoma kupita, akataka mbele. Wakati anapita nilihisi kabisa kafanya kusudi na trako lake la uchokozi lainiii🤦‍♂. Na hapo ni baada ya kininyima namba kijanja kuwa atanipa next time tukikutana, akaona bora anitese saikolojikale.
 
Ni changamoto mno. Upo zako kwenye usafiri umesimama unawaza maisha. Ghafla unasogezewa bonge la msambwanda, ukijisogeza na yeye ana sogeza, ukienda nyuma na yeye anaenda nyuma, ukienda pembeni na yeye hukohuko pembeni.

Mambo gani haya tunafanyiana? Huu ni unyanyasaji wa kijinsia! Serikali iingilie kati!
Tunatiana kwenye majaribu na vishawishi!
Kutiana upwiru bila sababu za msingi!
Hivi huwa wanaskiaga raha au
 
JamiiForums68569125.jpg
 
Back
Top Bottom