Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Wanawake ni waongo sana. Kila mwanamke ambae nimekuwa nae utasikia anakwambia hivi.
1. Yani mimi mpaka namaliza chuo nilikuwa sijawahi kuwa na mwanaume
2. Mwingine yani mimi mpaka namaliza sekondari sijawahi kuwa na mwanaume
3. Mwingine utasikia yani mimi wewe ni mwanamme wangu wa pili nilikuwaga tu na boy friend tukaachana
4. Mwenye mtoto atakwambia mimi kwanza wala sikupenda kuzaa nae alinibaka
Kifupi - Usichimbe historia ya mke wako kwani utachanganyikiwa ndugu yangu.
Ila wanawake ni waongo sana kwani mimi kila shule niliyopita kuanzia primary, o level, a level na college wanawake walikuwa wanaliwa ila leo ukikutana nao watakudanganya.
1. Yani mimi mpaka namaliza chuo nilikuwa sijawahi kuwa na mwanaume
2. Mwingine yani mimi mpaka namaliza sekondari sijawahi kuwa na mwanaume
3. Mwingine utasikia yani mimi wewe ni mwanamme wangu wa pili nilikuwaga tu na boy friend tukaachana
4. Mwenye mtoto atakwambia mimi kwanza wala sikupenda kuzaa nae alinibaka
Kifupi - Usichimbe historia ya mke wako kwani utachanganyikiwa ndugu yangu.
Ila wanawake ni waongo sana kwani mimi kila shule niliyopita kuanzia primary, o level, a level na college wanawake walikuwa wanaliwa ila leo ukikutana nao watakudanganya.