Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Hivi hii tabia ya wanawake kutembea na vipodozi kwenye mikoba yao inaashiria nini?
Ki ujumla mimi sikubaliani nayo kabisa,maana unakuta mtu ametoka nyumbani na ashakaa kwenye dressing table zaidi ya saa moja akijipamba tu.
Kama ni mafuta kashajipaka manukato kashajipulizia kila idara lakini bado akitoka anabeba hivyo vitu tena kwenye mkoba wake.
Tabia hii wanayo sana wanawake malaya ki ukweli nikimwona mwanamke kwenye daladala/kwenye gari yake anajipaka paka lip sticks huwa mimi namwona ni wale wale tu!
Ebu tujiulize kwani haiwezekani ukajiandaa vya kutosha ukiwa nyumbani na ukitoka umetoka?
Au ni zana za kujiweka katika hali ya kawaida baada ya kuchepuka?
Mbona first lady wetu akiwa kwenye majukumu yake ya kila siku hafungui begi kujipodoa tena?
Tunaulizana tu msipaniki kama ikikugusa!
Ki ujumla mimi sikubaliani nayo kabisa,maana unakuta mtu ametoka nyumbani na ashakaa kwenye dressing table zaidi ya saa moja akijipamba tu.
Kama ni mafuta kashajipaka manukato kashajipulizia kila idara lakini bado akitoka anabeba hivyo vitu tena kwenye mkoba wake.
Tabia hii wanayo sana wanawake malaya ki ukweli nikimwona mwanamke kwenye daladala/kwenye gari yake anajipaka paka lip sticks huwa mimi namwona ni wale wale tu!
Ebu tujiulize kwani haiwezekani ukajiandaa vya kutosha ukiwa nyumbani na ukitoka umetoka?
Au ni zana za kujiweka katika hali ya kawaida baada ya kuchepuka?
Mbona first lady wetu akiwa kwenye majukumu yake ya kila siku hafungui begi kujipodoa tena?
Tunaulizana tu msipaniki kama ikikugusa!