Acha kulazimisha mambo kwa fikra zako mlegezo....kujiremba ni umalaya???huko nyumban umeanza kuelimisha hili ulilolileta humu??
mnakuja na kengele zenu zilizolegea kama mahindi ya mbegu majikoni...
Elimu hii nimeanzia kwangu kabla ya kuiweka hapa
Kujiremba sio umalaya..lakini kufanya hilo zoezi ovyo ovyo ni dalili za tabia ya umalaya hilo kataa lakini ndio ilivyo.
wewe ni naaani umpangie mtu mahali pa kufanya analotaka kufanya?
mpk kiasi cha kuwaita malaya?
Dinazarde sipingi kujiweka vizuri hata kidogo
Jipodoeni majumbani kwenu mnavyoweza sio barabarani kwenye kadamnasi
KWA maana ya haraka haraka ni mtu asiye na adabu/heshimaUmalaya ni nini???
Sijawahi ona Mwanamke anajipaka wanja kwenye Daladala ni mageni kwangu mara nyingi uwa ni washroom na hata mimi uwa natembea na basics kwenye mkoba kama ni umalaya basi nimekubuhu
KWA maana ya haraka haraka ni mtu asiye na adabu/heshima
Acha tu tujipodoee tu sio wanawake ndio sisi wengine mafisii ,hadi k tunazipodoa siku hizii zinarembua mwee!!
mmh ilo nalo neno.... ila wengine zinawai ku-melt na joto la dar ukipanda public transport mpaka ufike kila kitu kimefulutika!!!!
Hujui maana uwe una uliza kabla hujaanza kuropokwa.....!!!mtoto mdogo akiagizwa dukan na mtu aliyemzidi umri akakataa,unamuitaje???
Hujui maana uwe una uliza kabla hujaanza kuropokwa.....!!!mtoto mdogo akiagizwa dukan na mtu aliyemzidi umri akakataa,unamuitaje???
Usitafute maana ya umalaya kwa kunilazimishia majibu mdomoni kwangu,hiyo niliyokueleza ndio maana yake neno "adabu"linamaana pana inategemea unalitumia wapi na kwa maana gani.
Kibo10 we ndo wale wadunguaji wa kwenye daladala nisujipake hata lipshine kisa nitatafsrika vingine kwenye begi langu ninapotoka kuna foundation, lipshine,spray, bodylotioni,wanja,na vikorombwezo kibao urembo ukipungua naongeza
Atamuita malaya kwa hiyo definition yake ya neno malaya