Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Hilo jina silitaki kama umeniacha mii badoNi kweli ex wangu, hakuna anayependa kuishi peke yake, ni pale umapojikuta tu basi hakuna namna. Ila maisha ya upweke hapana aiseee!!
Hilo jina silitaki kama umeniacha mii badoNi kweli ex wangu, hakuna anayependa kuishi peke yake, ni pale umapojikuta tu basi hakuna namna. Ila maisha ya upweke hapana aiseee!!
Hahahaaaaa!!!Hilo jina silitaki kama umeniacha mii bado
Kicheko hiki ni dhihaka haya bhanaaHahahaaaaa!!!
Sio dhihaka bali ni kicheko cha furaha.Kicheko hiki ni dhihaka haya bhanaa
Duh hilo jina na haya maelezo yako hayajatupanaMie nipo peke yangu miaka 16 sasa maisha yanasonga na mwanangu shule kama kawaida ,kikubwa ni kujiamini tu .
Umeona eeh ha ha haaa namiiDuh hilo jina na haya maelezo yako hayajatupana
hongera sana aisehh!Mie nipo peke yangu miaka 16 sasa maisha yanasonga na mwanangu shule kama kawaida ,kikubwa ni kujiamini tu .
Mtoto cute shy umeongea bonge la point hadi nimekutaka hapa.......mmtizame kwanza so cute.....Kuolewa kwa mwanamke ni lazima na ndo heshima ya mwanamke yeyote duniani, leo hii mama clinton labda asingeweza kufika hapo alipo bila support ya mume, na kwenye ndoa hata zamani za wazazi na bibi zetu mwanamke ndoa ilikuwa siyo kwa ajili ya furaha ya mke ilikuwa kwa ajili ya kumfurahisha mume na kuzaa watoto tu, ndo maana walidumu hawakutaka kulinganisha kama sisi.
Kuwa specific ......pressure zinatokana na mambo gani anayofanya maana si kila pressure unasababishiwa zingine za kujitakia........watoto wa kike wa siku hizi matatizo mnapoyatafuta huwa masikio yanawasimama hamsikilizi mtu mkizinguliwa wanaume wote tunaitwa wakorofi.......tulishapotezana muda sana....niliona nitakufa kwa pressure aisee.
Apo sawa dah hakika kumbe kupenda kuna nguvu hivi sikujua apo mwanzoKwani hujui wewe ni nani kwangu jamani?
Usijesema wewe hutamani wanaume ulimwengu ukakushangaa badala ya watu
Yaani leo ndio unajua!! We si ulinitelekeza!!Apo sawa dah hakika kumbe kupenda kuna nguvu hivi sikujua apo mwanzo
Sikutelekezi bhanaaa nakutafutia ndo kupotea potea potea kunatokeaYaani leo ndio unajua!! We si ulinitelekeza!!
Ndio upotee bila taarifa jamani!!!Sikutelekezi bhanaaa nakutafutia ndo kupotea potea potea kunatokea