dickkami04
Senior Member
- Feb 2, 2013
- 101
- 70
Kwani mwanaume ndo huyo pekee duniani? Au ulipoachika na yeye hakupata mwingine hadi wa leo?tulishapotezana muda sana....niliona nitakufa kwa pressure aisee.
Kwani mwanaume ndo huyo pekee duniani? Au ulipoachika na yeye hakupata mwingine hadi wa leo?tulishapotezana muda sana....niliona nitakufa kwa pressure aisee.
siku hizi wanawaambia watoto wao "babaako alifariki"Kwani mtoto ulimpata vipi ? Iko siku mtoto atakuhoji , mbona wenziwe wana wababa wao , ndo utajua na kujuwa
Amen amen nakuambia saa yako haijafika rafiki,saa yako ikifika utakuwa zaidi yao!Waambie waache maana tamaa ni mbaya sana
Balaa ni pale wana ndugu wa upande wa mama wanapoanza kumwambia mtoto kuwa baba yako hajafa yupo hai, wakati huohuo mama kakomaa, "baba yako alifariki..."siku hizi wanawaambia watoto wao "babaako alifariki"
wana roho ngumu hawa viumbe
Wewe umeshampata Miss Natafuta mkuu??Wewe hebu jiposition upate ubavu wako sio wajinga walivoleta watu wawili wawili duniani
Nimefanya research ndogo isiyo rasmi, nimegundua wengi wa wasichana waliolelewa katika familia zisizokuwa na baba/mwanaume (kama kiongozi wa familia) ni ngumu sana kudumu kwenye ndoa/mahusiano yao.Mtoto anahitaji malezi ya pande zote mbili asikudanganye mtu malezi ya mtoto sio kitu cha mchezo mchezo tu
Huyo Mungu unayemshirikisha kwenye hiyo shirki yako ndiye aliyemuumba mume, kisha akamfanyia mke, ili waishi wawili. Leo unamshauri mwenzio aishi peke yake, halafu hapo hapo unamshirikisha na Mungu. Huo si ni sawa na Ushirikina?Mkwanja utapata tu mumy usijali kikubwa jitume usikate tamaa komaa mpaka kieleweke usikae bureee, huku ukimtanguliza mungu katika kila hatua upigayo na kumbuka yeye hachelewi wala hawai hivo don't give up ukikosa leo jua kesho utapata!
Ukifunga na kuomba, unamuomba Mungu yupi? Mungu huyuhuyu aliyemuumba Adamu na Eva waishi pamoja, au mwingine wa kisasa aliyemuumba Eva na Everine ili wasagane..?nafunga na kuomba nisipate nyege wala kisimi kisisimame
Mwanamke wa aina hiyo ni hatari sana hasa akiwa bosi wako kazini utajuta. Full of incompetent and harsh decisions. Kumbe stress za kuishi na upweke ndo zinazomuendesha.Ndio wanakua na mahasira hasira ukimkuta eneo lake la kazi au barabarani kumbe yote hayo ni kua wapo SINGLE halafu wanalea.
Wewe umeshampata Miss Natafuta mkuu??
Maisha ni wewe mwenyewe unavyoamua yaweje, na furaha iko mikononi mwako mwenyewe, usitegemee kuna mtu atatoka huko atokako kuja kukupa wewe furaha, kama unahisi mfumo wa maisha ulionao unakukosesha furaha ni bora ukatafuta njia mbadala unayohisi itakupa furaha, maisha mafupi,kwanini uishi na stress lol
Na kisha anunue na zile za plastic, shughuri kwisha. Raha jipe mwenyeweMadhara hakuna ndugu yangu we tafuta pesa tu ndio mpango mzima.
Kuishi miaka 16 peke yako sio issue,umetakiwa uelezee madhara ya kuishi bila mwanaume.Mie nipo peke yangu miaka 16 sasa maisha yanasonga na mwanangu shule kama kawaida ,kikubwa ni kujiamini tu .