Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
Kaka,
Tuhuma za Makaburini ni kubwa mno na ndiyo maana katuacha solemba...Nafsi inamsuta!!
Hata hivyo, ukiitwa na shemeji yako anaomba msaada, unaanza kuomba ruhusa kwa jamaa au unam-attend na kudeal na hayo mambo mengine baadaye??
...wallahi ina depend na ukaribu wetu, hata hivyo nikishamsaidia shemeji...sitampigia tena kumuuliza "..enhe siku ile kwanini mumeo hakuja kukusaidia.?"....nitakabiliana na bro head on kumuuliza kilichojiri badala ya kuja 'kukaanga mbuyu na kuwachia wenye meno watafune..' Mama Maria -Marijani Rajab.