Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
hai huuu...Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????
hai huuu...Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????
Case :closed_2: Tuonane lunch....
Case :closed_2: Tuonane lunch....
mimi nampa offer ya dinner after lunch yako ili aone kibamia/kimbilimbi kinavyofanya kazi au sio kaka
hili la vibamia kuna watu wanaumia ujue mwe taratibu dena, jamani hapa ni nguvu ya keyboard tu mdada akikupenda kwa dhati we acha tu yote tunayolalamika humu hata hatuyaonagi (mwe wadada msinishambulie kwani uongo)
Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????
Nope!! leo twende pale panapuza mnafu...am very :hungry: hurry up!!Pale pale au tunabadili kiwanja?!!!
Tena naona walioguswa Ferds, Kimey na Babu (Asprin) sijui inawahusu au wanawatetea walionavyo????
Nope!! leo twende pale panapuza mnafu...am very :hungry: hurry up!!
No hawa ni watu ambao wanapinga cause ni kama unyanyapaa so wanawatetea wenzao ni sawa na wao wakisema labda hawataki wanawake waliopigwa pasi au wenye viguu vyembamba au wenye maziwa makubwa itakuwa sio vizuri kwa hiyo hao watu hawawezi pendwa? Kuna mtu alisema hutakiwi oa mwanamke mwenye sura mbaya sasa sisi wenye sura mbaya ndio tusiolewe jamani? Kingine binadamu tumeumbwa tofauti hata sisi wanawake kuna wenye maumbile makubwa usipime hata akutane na ya kati ye itakua kibamia kwake na kuna wanawake ambao wamejaaliwa mtalimbo ukiingia unafiti ukitoka inarudi katika hali ya kawaida na kibamia kikiingia vile vile kina fiti achana na mungu kabisa
Thats Kibaioloji Bamia suporters calling....you have been warned!
It is very easy for me to lie to someone I dont really love buddy.tatizo nyie ndo mnakurupuka! Cant you tell somebody anaongopa?
No hawa ni watu ambao wanapinga cause ni kama unyanyapaa so wanawatetea wenzao ni sawa na wao wakisema labda hawataki wanawake waliopigwa pasi au wenye viguu vyembamba au wenye maziwa makubwa itakuwa sio vizuri kwa hiyo hao watu hawawezi pendwa? Kuna mtu alisema hutakiwi oa mwanamke mwenye sura mbaya sasa sisi wenye sura mbaya ndio tusiolewe jamani? Kingine binadamu tumeumbwa tofauti hata sisi wanawake kuna wenye maumbile makubwa usipime hata akutane na ya kati ye itakua kibamia kwake na kuna wanawake ambao wamejaaliwa mtalimbo ukiingia unafiti ukitoka inarudi katika hali ya kawaida na kibamia kikiingia vile vile kina fiti achana na mungu kabisa
Tutaongea chemba hapa kuna watoto:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
Dah sikujua kama Pedo zinakutoa bomba ivyo....kaa hiyo meza ya kwanza nakuja...Niko hapa nje wewe uko wapi?
Yaani Ferds uaniruka hivi hivi haiwezekani naandamana aisee!!! Nione mara ngapi?
hawa wanaume baba yao mmoja yaani ni kama walirogwa vile.me washanichosha ati hakuna kuzama mazima
:embarrassed::embarrassed::embarrassed: habari yako mamaaahawa wanaume baba yao mmoja yaani ni kama walirogwa vile.me washanichosha ati hakuna kuzama mazima
hawa wanaume baba yao mmoja yaani ni kama walirogwa vile.me washanichosha ati hakuna kuzama mazima