Nightangale
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 265
- 2
Mmh! Ama kweliNimeipenda hii na inaweza kutumika na pande zote. Ila kuna watu wengine ving'ang'anizi bana. Hata ufanyeje wapo tu
Mmh! Ama kweliNimeipenda hii na inaweza kutumika na pande zote. Ila kuna watu wengine ving'ang'anizi bana. Hata ufanyeje wapo tu
hivi kwanini wanaume huwa hawasemi ukweli jamani?anaweza akakutongoza na kukuonyesha anakupenda kabisa na akakufatilia kwa kila hali mpk ukaamini kuwa anakupenda,kumbe mwenzio anataka kupita tu ww ndo ukajiweka mazima moyo na mapafu pia.siku akikuchoka anakumwaga km hamjawahi kuwa watupu hata siku moja.kwanini lakini wanaume mpo hivyo?????????????????????????
Maskini pole sweetheart yamekukuta hayo? ukizaliwa na ukawekwa chini ya jua tegemea haya kutokea ..hawa hatujatoka nao tumbo moja hivyo sio ndugu zetu......
wapo wanaokuja kwa malengo maalum ya kubanjua amri ya sita na kukata kona
Wapo wanaokuja kwa nia ya kuongeza list ya wanawake aliowahi kutoka nao
Wapo wanaokuja kwa nia ya dhati kuwa na wewe lakini pilika za maisha zinawabadilisha
Na wapo wenye penzi la kweli kwa macho ya kibinadamu ni ngumu kuwatambua.
Funga kurasa na anza page nyingine ya maisha yako
Kansu vii, utumbwiree uuh?Wengi ya wanawake wanapenda kudanganywa wenyewe kutokana na maringo yao ila siyo wamume wote
Mwasu joole!?