bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Habari ndio hii ukizama mazima ndio inakula kwako
Maty, hata kwa mmeo huwezi kuzama mazima eeeeeeh ?!!!!!
Habari ndio hii ukizama mazima ndio inakula kwako
Habari ndio hii ukizama mazima ndio inakula kwako
Dah sikujua kama Pedo zinakutoa bomba ivyo....kaa hiyo meza ya kwanza nakuja...
Maty, hata kwa mmeo huwezi kuzama mazima eeeeeeh ?!!!!!
Mh basi mama ya uchawini yaishie uchawini crudii tena kukucharura.........................ila dinner c utakuja eti eehh
na ukipima kina cha maji kwa ujiti utateleza udumbukie kabisa
Asprin ushanihamisha leo na wewe sasa iyo avatar ndo nini mi sipendi wenye aibu unaniangusha
Nakuja ila jiandae na faini ya kuniruka mbele za watu. Pale pale au leo twende kiwanja kingine? Pale panachosha sana chakula kinachelewa sana au unaonaje?
Mtu akishang'atwa na nyoka mara moja basi huwa na taadhari na kila unyasi unaomgusa so si rahisi kung'atwa tena
faini c tatizo maana ni tarehe nzuri hizi, pale tutapakimbia kuna kona moja kali opposite ya ya hako kaplace ketu shuka down tu utanisoma vizuri nakipensi changu cha jeshi nakusubiri c unajua tena suruali na joto haviendani
ila wapo maepert wa kudanganya jamani,yaani hata wkt wakukufatilia wengine wanaweza kujifanya wamepata homa kisa hujapokea simu yake,kuna mkaka mmoja jamani ni shetani wkt ananifatilia alinambia eti mie kuongea na tabia zangu zinafanana na marehemu mama yake na hivyo akasema nikikubali anioe atanitunza na kuniheshimu kama alivyomuheshimu marehemu mama yake,na alikua akiongea wa hisia mtu ungeweza kumuamini,story ni ndefu kidogo lkn nilikuja gundua kumbe hilo likaka ni lifataki lililooa na lina mtoto,yaani nililidharau japo halikufanikiwa 'kunirubuni'.kwa kweli mwanamume muaminifu ni kwa maombi lkn wengi wao ni wadanganyifu sana.
ila wapo maepert wa kudanganya jamani,yaani hata wkt wakukufatilia wengine wanaweza kujifanya wamepata homa kisa hujapokea simu yake,kuna mkaka mmoja jamani ni shetani wkt ananifatilia alinambia eti mie kuongea na tabia zangu zinafanana na marehemu mama yake na hivyo akasema nikikubali anioe atanitunza na kuniheshimu kama alivyomuheshimu marehemu mama yake,na alikua akiongea wa hisia mtu ungeweza kumuamini,story ni ndefu kidogo lkn nilikuja gundua kumbe hilo likaka ni lifataki lililooa na lina mtoto,yaani nililidharau japo halikufanikiwa 'kunirubuni'.kwa kweli mwanamume muaminifu ni kwa maombi lkn wengi wao ni wadanganyifu sana.
sio mtoto wa kimambo huyo?Thats avatar calling, you have been notified, warned and banned!
sio mtoto wa kimambo huyo?
hahahahahahahahahahahahaha!
Si unaona anapiga msuba? Mwana Apollo huyo!
hahahahahahahaha!Si unaona anapiga msuba? Mwana Apollo huyo!