mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
View attachment 54339Huyu hapa. Sina shaka hata yeye ana harufu ya k.
:biggrin1: mwambie avue wigi hilo tuone kipara chake...pua hiyo utafikiri kaumwa na nyuki!!
View attachment 54339Huyu hapa. Sina shaka hata yeye ana harufu ya k.
mama mbona unajamba sasa, mchafu mmeo, au una sample gapi na mean graph yako ndo imekupa hayo majibu, si dhani tumia SPSSni kweli kweli kweli tu wanaume wengi ni wachafuuuuu!!!!!!!!!!!mno jamani jirekebisheni ebo?
Sawa madame Lizzy, wamekusikia....hopeful wenye kauka nikuvae watajitahidi waongeze though kuongeza idadi jambo moja kufua jambo la pili... unaweza kuwa nazo dozen bado ukasmell na kukera wadau!!Hata siungani wala sipingi . .
Nasema tu muwaridhishe wale wanaounga mkono hoja.
Mkirua Kuweni na pair 5-7 za boxer na soksi ili muweze kubadilisha kila siku na kufua mara moja kwa wiki kama muda ni tatizo.
Mkirua ndio maana sikuacha kusema "muweze kubadili kika siku" . . . .Sawa madame Lizzy, wamekusikia....hopeful wenye kauka nikuvae watajitahidi waongeze though kuongeza idadi jambo moja kufua jambo la pili... unaweza kuwa nazo dozen bado ukasmell na kukera wadau!!
Yeye mbona akipigwa style ya mbuzi kagoma harufu yote ya kinyesi inajaa puani mwa mshughulikaji???????!!!!!!!!!!!!!
Na nyie si muwe mnafua tu yaishe.
Hili nimelikuta kwenye ukurasa wake wa facebook anasema wanaume wengi wa tz wananuka boxer,midomo,soksi nk,nimelileta hapa jf magreat thinker mnalizungumziaje?
Akiwa mchafu mvulana mmoja basi WANAUME wote ni wachafu?
Kongosho , If that is the case, then hili tatizo lipo hata kwa Kina Dada/ wanawake pia, kama wanategemea mahindi ya Misaada,watapata wapi hela ya Kununua chupi.Preta, kama ameongelea kwa popn ya TZ nzima kunaweza kuwa na ukweli.
Asilimia kubwa ya watz wako vijiji na hizo shower jely watazipata wapi? Au hizo boksa watapata wapi wakati wanahitaji mahindi ya msaada?
Kuna ukweli hapa, labda kama tunaongelea hawa wa mjini wenye makazi makubwa.
Huyu Mwanamke anasema wanaume wananuka vinywa, boxer...over all ni wachafu..kayaongea hayo jana Cloudz...anav..u..ru..gwa nini!
huyo ndio diva wa kina ruge