Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wanaume walioa siku hizi wanapowatangoza wanawake huanza kuwaponda wake zao kwa kudai kuwa wake zao ni washamba,hawana mvuto...mara mwingine utasikia mara ohoo yaani simpendi kabisa siku hizi mke wangu,yaani sijui hata kwanini nlimuoa..wengine wanadai oho mke wangi nililazimishwa tu kumuoa ila mimi wala simpendi mimi nakupenda wewe...mwingine utasikia wewe unafana sana na meko wangu ila wewe mzuri zaidi na unaakili zaidi ya mke wangu...
Hii inaweza kusababisha yule unayemtongoza akamdharau mkeo if they will gwt time to meet..au anaweza kumsahau hata kama hamfahamu.
Jamani hivi kwani unapomtongoza mtu ni lazima useme haya?hakuna maeneo mengine mazuri ya kumuapproach huyu mrembo mpaka ummuingize mkeo?
Enyi wanandoa fanyeni yote but have atleast a minimum respect to ur wives..
Hii inaweza kusababisha yule unayemtongoza akamdharau mkeo if they will gwt time to meet..au anaweza kumsahau hata kama hamfahamu.
Jamani hivi kwani unapomtongoza mtu ni lazima useme haya?hakuna maeneo mengine mazuri ya kumuapproach huyu mrembo mpaka ummuingize mkeo?
Enyi wanandoa fanyeni yote but have atleast a minimum respect to ur wives..