Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
...kwani house-gal chi n'tu?
House girl ni mtu lakini sio wakudanganywa na boss wake..House girl ni kama mwanao hivyo ni vyme nae akaheshimiwa kama watoto wengine ndani ya nyumba.
...kwani house-gal chi n'tu?
House girl ni mtu lakini sio wakudanganywa na boss wake...
Hebu fafanua zaidi kwani akina mama nao hawasababishi waume zao kwenda kutembea na wafanyakazi? Nitakupa mfano mwanaume anarudi kutoka kazini amechoka ukifika home haulizwi hali, matusi, chakula hajui hata kinapikwa vp, watoto wa shule wamesoma au la (kazi zote hizi hawajui kitu). Mfanyakazi anahudumia kila kitu isipokuwa kitandani.
Mr akiomba game kitanda anajibiwa na mke amechoka sana na kazi. Kimsingi sex is important as it releases frustration, tiredness etc sasa kama haipati kwa mkewe atapata wapi??? Akina mama naomba mtusaidie kwa hili maana linatokea katika nyumba nyingi if not majority of them.
Mnaweza kutulaumu sie wanaume kwa kutokuwa waadilifu but nanyie mnachangia kuyatengeneza mazingira ya kutamani mfanyakazi wa ndani either mkijua au bila ya kujua
...duuuh, dada'kee hapa umebonda kikweli kweli, Lol ...(Mahita)
House girl ni mtu lakini sio wakudanganywa na boss wake..House girl ni kama mwanao hivyo ni vyme nae akaheshimiwa kama watoto wengine ndani ya nyumba.
Mbona hata hausi boi nae anadanganywa na mama mwenye nyumba??
Naona mkuu ulikutwa unajipongeza! Pole sana, acha siye tuendelee kufaidi mpaka na sisi yatukute...ng'ombe wa zizi moja na dume ni moja! unategemea nini?
Ni lazima ufuate kanuni:
a. Usiajiri msaidizi wa ndani wa kike ambaye ni mzuri kuliko mke wako
b. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ni mwema kuliko mkeo
c. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye analala ndani ya nyumba yako na anasifa a na b
d. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ukimwangalia unafikiria kilicho chini ya nguo zake
e. Kama wewe ni mwanamke/mke usimuache mumeo akubali kuajiri msaididi mwenye sifa hizo. Mtashindana na utashindwa.
Wewe sema kuwa ni udhaifu wa wanaume lakini siyo usemi ati ni kosa la mke!
1.Uzuri ni subjective....fafanua - kuna uzuri wa sura ambao ni subjective, kuna uzuri uliojificha ambao hujakuonekana baada ya muda.Sasa utafanyeje kwenye hili? This applies to both men and women.
2.Hawa wasichana siyo wajinga kama watu wanavyodhania. Mke na mume kwa vyovyote lazima wanaweza kuwa na mapungufu yao, na msichana huyu anasoma mchezo wote unavyokwenda na ata capitalise on the weaknesses za mke...... sasa ukisema usiajiri aliye mwema kuliko mkeo mhhhh!!??
3.Bold 3, Huu ni mtihani.Kulala ndani na kuwa na sifa a u b.... hizi ndizo sifa ambazo humfanya hausigel aajiriwe! In short bold 1,2,3 huwa ni vigezo vya kumwajiri msichana.Hakuna mtu ataajiri msichana mkatili, asiyekuwa na sifa zozote aje amlelee watoto!u hausgel ni kazi jamani lazima iwe na vigezo.
4. Bold 4 ...hii nadhani ndio hasa chanzo cha tatizo - wanaume wengi wakware hujaribu kumvua mwanamke yeyote kwa mawazo/fikra na si ajabu kufanya hivi kwa hausigeli.
Mbona hata hausi boi nae anadanganywa na mama mwenye nyumba??
Lakini sio kwa kiwango kama ambacho wanaume tunafanya.
Ni lazima ufuate kanuni:
a. Usiajiri msaidizi wa ndani wa kike ambaye ni mzuri kuliko mke wako
b. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ni mwema kuliko mkeo
c. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye analala ndani ya nyumba yako na anasifa a na b
d. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ukimwangalia unafikiria kilicho chini ya nguo zake
e. Kama wewe ni mwanamke/mke usimuache mumeo akubali kuajiri msaididi mwenye sifa hizo. Mtashindana na utashindwa.
Ni lazima ufuate kanuni:
a. Usiajiri msaidizi wa ndani wa kike ambaye ni mzuri kuliko mke wako
b. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ni mwema kuliko mkeo
c. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye analala ndani ya nyumba yako na anasifa a na b
d. Usiajiri msaidizi wa ndani ambaye ukimwangalia unafikiria kilicho chini ya nguo zake
e. Kama wewe ni mwanamke/mke usimuache mumeo akubali kuajiri msaididi mwenye sifa hizo. Mtashindana na utashindwa.
.........Hebu nipe kanuni za kufuata ili nipate house boy, nina mpango wa kutafuta house boy mie.
mbona mara nyingi wakina mama ndio wanachagua hao ma-hg?