Wanaume mnaelekea wapi na ndoa zenu?

2025DG

JF-Expert Member
Jan 30, 2023
508
1,426
Habari,

Mimi kidogo ni mfuatiliaji wa Facebook. Kuna kinachoendelea kwenye page ya jamaa mmoja anayejiita Dr. Harris Kapiga akitoa yake ya moyoni.

Ameweka namba na wanawake waeleze yaliyo moyoni mwao katika Ndoa. Wengi wao wasichana wenzangu wamekuja na madukuduku yafuatayo;

1. Usaliti umekuwa mkubwa sana.

2. Wanaume wengi hawana nguvu za kiume ila ni visirani na wanaongoza kutoka nje ya Ndoa.

3. Matumizi yaliyokithiri ya simu ya mkononi.

4. Uchafu kwa wanaume.

5. Kuomba penzi nyuma ya maumbile.

Jamani mapenzi nini kinaendelea katika Ndoa zetu wanaume, mje mseme mnakoelekea.
 
.
1697107423913.jpg
View attachment 2779876View attachment 2779877View attachment 2779878
 
Ingefaa ungewauliza wanaume wa facebook sisi huku JF hatuna hizo mambo.

Utani pembeni

Mimi sio mkamilifu ila kuna mmomonyoko wa Maadili mkubwa sana.
Huu unatatutafuna sana.

Leo wanalalamika wanawake, kesho watalalamika wanaume.

Jambo zuri watu wazuri bado wapo. Tujitahidi kuwatunza watu wazuri. Tusiwaharibu
Tuchague wanaotufaa.
 
Habari,

Mimi kidogo ni mfuatiliaji wa Facebook. Kuna kinachoendelea kwenye page ya jamaa mmoja anayejiita Dr. Harris kapiga akitoa yake ya moyoni.

Ameweka namba na wanawake waeleze yaliyo moyoni mwao katika Ndoa. Wengi wao wasichana wenzangu wamekuja na madukuduku yafuatayo;

1. Usaliti umekuwa mkubwa sana.

2. Wanaume wengi hawana nguvu za kiume ila ni visirani na wanaongoza kutoka nje ya Ndoa.

3. Matumizi yaliyokithiri ya simu ya mkononi.

4. Uchafu kwa wanaume.

5. Kuomba penzi nyuma ya maumbile.

Jamani mapenzi nini kinaendelea katika Ndoa zetu wanaume, mje mseme mnakoelekea.
ila bana pia kuna wanawake wana tupu zinatoa harufu kali aisee, ikikupiga puani inaingia hadi utosini,
steam inakata kabisa mshedede hauinuki tena.
hapo sasa lawama za nguvu za kiume huibuka.
safisheni tupu vizuri bana kama mnavyozipeleka kwa michepuko yenu zikia zinanukia hatari, acheni mazoea.....
 
Wanawake waliolalamika hawafiki hata %2 ya wanawake wote tanzania. Wanaume wanaolalamikiwa hawafiki hata 1% ya wanaume wote tanzania. We unakuja huku kuuliza wanaume ndoa zetu zinaelekea wapi. Huto ni tuvulana tuwili tutatu tu twa dar ndo tunachafua hali ya hewa. Wanaume tulio vizuri tupo. Nguvu tunazo, nyuma hatuombi, usafi tunao na kila hitaji la mwanamke timamu kwa mwanaume tunayatimiza. Kuwa na matumaini na ujiamini madamu ni hivi. Wanaume bado tupo
 
unajichanganya
kama hawana nguvu za kiume watatokaje nje ya ndoa?
Tatizo kubwa lipo kwa wanawake ambao mnajuwa mmefanya sana umalaya kabla ya kukamata fala wa kukuoa,sasa ukishaolewa unaanza kulinganisha zilizokupitia na uliyonayo kwenye ndoa.
Nawashauri ikiwa wanaume ni wasumbufu anzisheni kampeni ya kutokuolewa,muishi peke yenu mtuache na usumbufu wetu.
 
Back
Top Bottom