Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 1,206
- 3,876
Aloo, hivi unajisikiaje kuto kumspoil mpenzi wako au mkeo? yaani mmeona ni big deal kumhonga mkeo mpenzi wako? sawa anafanya kazi sasa kumsapoti kiasi nayo ni vita? wanaume wabahili wa JF mnachekesha sana, mimi nafanya kazi na hela yangu inatumika na sote wawili, kilichopungua baada ya yeye kuongeza ni jukumu langu kuchangia tunasaidiana maisha yaende.
Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.