Yaani huyu kiumbe halafu wengine ni washabiki wakubwa wa jf sijui kwa nini huyu kiumbe habadiliki mbaya zaidi they are always right,lini wamesema wamekosea?hivyo vituko hapo 70% ndo kiumbe nilichonacho nacho!kiumbe kisichochukulila na Kiki comment hapa namuumbua!tunawaita wAnaume suruale!!!