Uchunguzi wangu unaonesha wanaume tunaongoza kuwafanyia ukatili, kuwaumiza na kuwasaliti wanawake

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,900
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Ni kweli kabisa mkuu, kadri siku zinavyozidi kwenda na mwanamke kuzidi kujitambua basi uoga kwa wanaume unazidi kuongezeka.

Hiyo dini uluyoingia sasa hivi aisee unachomekea Mungu Mungu kila pahala.

Wanaume wanakuwa waoga kwa sababu ya uhalifu na uovu uliopo nafsini mwao.
Mtu asiye mwovu hawezi kuogopa.

Mungu ndiye kila kitu lazima nimtaje.
Hajawahi kutokea mtu mwenye akili ambaye hakumtaja Mungu kila anapozungumza.
Ni aidha aanze na Mungu au amalize na Mungu
 
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Asanteee saanaa mkuu kwa zawadi nzuuri ya siku yetu hiii wanawake….kisses to you.!Mungu akubariki sanaa uendeleee kuwa mwema hivyo hivyoooo.
 
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wamehack account ?
 
Back
Top Bottom