Wadau hbr zenu, kumekua hakuna haki sawa kwanza hapa Tanzania, kwenye upataji wa travelling document i.e passport. swali la msingi, je passport siyo haki ya kila mtu kua nayo kama ID's zingine? Pili ni upande wa visa, wazungu huja hapa kwetu kwa masharti nafuu sana. Lakini ukijaribu wewe kuomba visa ulaya au nchi zingine utaona joto lake.
Sasa mimi nasema hivi! kila mtu anahaki ya kusafiri sehemu yeyote duniani regardless of watever. Pia nipo tayari kutoa msaada wowote iwapo umepata shida kupata passport au visa bila mafanikio. Nitatoa msaada huo free of charge, hii ni harakati ya kutokomeza hali ya unyanyapaa kwa waliyonayo maafisa uhamiaji na mabalozi wa nchi za ughaibuni kuwakwamisha wananchi wetu kusafiri.
Wazungu walikuja huku karne izo bure bila visa, wakachukua dhahabu na rasilimali watu wengi sana. Ni lazima wazirudishe kwa njia moja au nyingine.
Wenu katika harakati.
Sasa mimi nasema hivi! kila mtu anahaki ya kusafiri sehemu yeyote duniani regardless of watever. Pia nipo tayari kutoa msaada wowote iwapo umepata shida kupata passport au visa bila mafanikio. Nitatoa msaada huo free of charge, hii ni harakati ya kutokomeza hali ya unyanyapaa kwa waliyonayo maafisa uhamiaji na mabalozi wa nchi za ughaibuni kuwakwamisha wananchi wetu kusafiri.
Wazungu walikuja huku karne izo bure bila visa, wakachukua dhahabu na rasilimali watu wengi sana. Ni lazima wazirudishe kwa njia moja au nyingine.
Wenu katika harakati.