The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 618
- 1,804
- Thread starter
- #61
Safi! Nadhani tukifanya hivyo itaonesha ni namna gani tunachoka ahadi zao wasizotekeleza.Sisi tumekuwa tukichangia na kujenga barabara za kijijini kwetu kwa mamilioni mengi japo huwa hatuweki bango. Hawa wenzetu wa Goba wametufungua sababu nahisi tunapojenga wengine wanachukua credit