Elimu ya madrassa ipigwe LIFE BAN na watoto wapelekwe shule. Wewe ni victim wa elimu ya madrassa.KWI KWI KWI KWII, teh teh teh. Wishful thinking!
Hiki Chama cha Mapinduzi kimeshindwa kufanya mapinduzi yoyote ya kimaendeleo kwa miaka zaidi ya 50 kikiwa kimeshika nchi,kilichofanya na kinachoendelea kufanya ni kuendelea kuziba viraka vya kiuchumi,kijamii na kiutawala bila kuwa na njia zozote za kuleta mapinduzi ya kweli.
Hayati Mwl. Nyerere na Karume na mashujaa wengine walipokuwa wanapigania uhuru wa Tanzania ya sasa hawakuweka vyama mbele halafu wakakaa nyuma yake wakitegemea uhuru uletwe na kikundi kidogo cha watu wanaofanya vikao na mikutano ya mara kwa mara.(Tukumbuke Nyerere hakupenda kubweteka kama wanasiasa wa leo bali aliendelea kupenda aitwe Mwalimu akifanya kazi kuleta uhuru na maendeleo kwa kadri ya hali za kipindi hiko na uwezo wake.Sio hawa maafande wanaopenda kuitwa Dr bila kuusomea wala kuwa na taaluma).
Mapinduzi ya kweli hayataletwa na vyama vya siasa pekee bali mtanzania wa kawaida anapaswa kuchukua hatua na kubadilisha mfumo huu mzee mambo ili kuyaleta mapinduzi ya kweli.
Mkuu soma vizuri post ya Sangarara, bila shaka hujamuelewa vizuri mwandishi amelenga nini!!!!! Tuliza akili kwanza tafakali upate jibu!!!!Kwanza ningetaka kujua ww ni nani ila kwa ufupi ningesema ww ni Mipasho ya MAGAMBA.Nikuulize kuwa ww nani alikwambia kuwa Watz hawaitaki CDM.Na ni nani kasema CDM ni ya Wachaga.Acha kuwa na fikra potofu.Watz tushajanjaruka na hatutaki Propaganda.Kati ya CDM na CCM ni nani chama cha Familia.Obvious ni CCM.Kwa ufupi angalia Arumeru, Eti mpeni SIOI ubunge ana majukumu ya kifamilia.Kwa ni mtanzania yupi asiekuwa na majukumu ya kifamilia.Ningekushauri uwe na fikra endelevu, kwanza noi bora ukafanya Research. WITHOUT RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK. CCM ndio chama cha familia,na kurithishana au ww Huoni.ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO YA KCCM.
Mkuu mbona naona kama unamuunga mkono Sangarara ki aina. Maoni yako ni ya kwake. Au hujamwelewa?Kwanza ningetaka kujua ww ni nani ila kwa ufupi ningesema ww ni Mipasho ya MAGAMBA.Nikuulize kuwa ww nani alikwambia kuwa Watz hawaitaki CDM.Na ni nani kasema CDM ni ya Wachaga.Acha kuwa na fikra potofu.Watz tushajanjaruka na hatutaki Propaganda.Kati ya CDM na CCM ni nani chama cha Familia.Obvious ni CCM.Kwa ufupi angalia Arumeru, Eti mpeni SIOI ubunge ana majukumu ya kifamilia.Kwa ni mtanzania yupi asiekuwa na majukumu ya kifamilia.Ningekushauri uwe na fikra endelevu, kwanza noi bora ukafanya Research. WITHOUT RESEARCH,NO RIGHT TO SPEAK. CCM ndio chama cha familia,na kurithishana au ww Huoni.ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO YA KCCM.
huitaki wewe na ndugu zako
Hapa ndipo tuliposhindwa kuwaelewa CCM kwani wakati Nyerere anaongelea mapinduzi ya kiuchumi na maendeleo wenzake walimaanisha mapinduzi ya kimfumo kutoka kwenye ujamaa kwenda kwenye ubepari!. Kumbuka Nyerere alipotoka tu madaraka wakafanya 'mapinduzi' ya azimio la Arusha kuwa azimio la Zanzibar, baadaye wakafanya 'mapinduzi' ya viwanda kwa kubinafsisha na sasa hivi wapo busy na mapinduzi ya uongozi kutoka ule wa wananchi kumchagua wampendae kwenda kwenye uongozi wa kurithishana. Hayo ndiyo mapinduzi ya 'chama cha mapinduzi'
huitaki wewe na ndugu zako
Kuna upotoshaji mkubwa sana unafanyika hivi sasa ambao unafanyika katika namna ya hatari sana, naiweza kuifafanisha namna hiyo sawa sawa na mtu anaesema moto ni joto au upofu ni usingizi. Wanasiasa waliomadarakani wanajaribu kuyawekea mahitaji ya wananchi dhana ya kisiasa.
Wakati wananchi wanasema tunataka Mfumo bora wa elimu watawala wanasema CHADEMA haiwezi kuuleta, sababu DR SLAA Aliiba pesa kanisani.
Wananchi wanasema tunataka mfumuko wa bei udhibitiwe, watawala wanasema CHADEMA haiwezi kudhiti mfumuko wa bei sababu MBOWE ni DJ
Wananchi wanasema tunataka huduma bora za afya, watawala wanasema, DR Slaa anampenda sana Josephine.
Wananchi walia wanakufa njaa, watawala wanasema, CHADEMA ni chama cha Kichaga.
Wananchi wanapiga kelele wanalalamika mariasiri za Taifa letu zinanufaisha wachache na nyingi zinaibiwa na wageni, watawala wetu wanasema Ushindi ni Lazima.
Naomba tukumbushane historia mbichi kabisa, waliomfurumusha Hussein Mubarak kutoka Madarakani sio wanasiasa, Kijana aliyejichoma moto tunisia na kuacha laana nyuma yake hakuwa analalamikia wizi wa kura, waliomkamata Gadafi kwenye mtaro wa daraja walikuwa hawajebaba bendera ya chama chochote kile cha siasa, Hata sasa huko Siria wananchi hawapiganii kuundwa katika mpya wala kuwa na tume huru ya Uchaguzi.
Wito wangu kwa viongozi wa CCM ni huu ufuatao.
Kwanza, kuna ushahidi wa kutosha kwamba hivi sasa duniani, mabadiriko yanatokea kwa kasi ambayo haijawahi kutokea huko nyuma katika kila nyanja ya maisha.
Pili na mwisho, Muda si mrefu watanzania watagundua kwamba wanachokihitaji sio katiba mpya na wala sio tume huru ya uchaguzi wala sio maridhiano ya kitaifa ya namna yoyote ile wala sio ushindi wa wagombea wao.
Narudia tena, Punde kidogo, upepo wa mabadiriko utabidiri mkondo wake, watu watakapoamua kuweka magwanda na kuachana na ustaarabu wa kuonyeshana alama ya V sijui mtawaambia nini.
Ni ukichaa wa hali ya juu kushabikia CHADEMA.
Heading yako haina correspondence na content. Iedit.